Recent content by Dent

  1. D

    Natafuta mtu wa kuchat naye

    Karibu
  2. D

    Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

    Yan tuna kazi. Huyu jamaa ni km polisi wa Tanzania wakiambiwa kitu hata hawatafakari yan wanakurupuka tu km kondoo wameshtukizwa. Sasa kuambiwa chitchat irudishwe hadhi ndio kaja na marungu. Atutolee nanii zake hapa.
  3. D

    Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

    Achana nae kakurupuka usingizini memory haijaboot bado. Mod hajui maana ya jukwaa? hata km ni mulika mwizi sio kiivyo
  4. D

    Mods tunaomba hadhi ya Chit Chat forum irudishwe!!

    Kwani PM hazifanyi kazi? Nilidhani warning ingepitia PM ingekuwa vema Buchanan Halafu lugha kali hiyo na ya vitisho hata km we ni mod
  5. D

    Dent nimeingia

    Hi Jf Ni mgeni nikaribisheni
Back
Top Bottom