Acha utani, umemuona huyo mtoto ndani ya mwaka mmoja tayari uneshaamua ana kipaji zaidi ya Messi!
Ballon d Or, La liga, Champions League, Super Cup, Club World Cup.
Hayo mashindano yote hapo juu yanamsubiri huyo mtoto wako.
Hiyo si ni style mojawapo tu, kinachokuuma kitu gani wakati dada yako aliipenda?
So, ulitaka dadako afe na bikra yake? Hebu acha utoto sahau hicho kichekesho.
Then uache kuingia nyumba za watu bila hodi.
Ukweli ndio huo, hii serikali ya kijanja inatuma watu gerezani ili wakamshawishi Lissu akubali masharti yao. Wakati kimsingi, hata zile condition wanazopewa na "international community" mojawapo ni ya kumuachia Lissu bila masharti yoyote.
Hawa matapeli wanataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja...
Wafanyabiashara kurudishwa ni sawa, lakini kutotakiwa kujenga vibanda badala yake watumie meza na miamvuli, hapo naona hilo eneo linapigiwa hesabu nyingine na serikali.
Naamini huyu Chakwera atapokea kila alichoambiwa, asilete editing popote kwenye ripoti yake. Kwasababu hata kama wakifanya ujanja, bado matukio yote ya Okt. 29 yapo mtandaoni.
Waziri Mkuu anatuhumiwa kwa utekaji?
Ingekuwa nchi zinazojielewa, hiyo tuhuma pekee ingetosha waziri mkuu kujiuzulu, lakini hapa kwetu ndio tutamshangaa kama akijiuzulu!.
Mbona yupo sahihi huyo mnayemuona chizi, hii nchi imeuzwa kweli na wote mnaomshangaa huyo mwanamke nyie ndio machizi wa kweli.
Kila siku tunaona na kusikia kila kitu chetu wanapewa wageni, mbuga za wanyama, madini, misitu, mpaka mwendokasi, jumlisha bandari vyote tunaendeshewa, sasa sisi na hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.