Recent content by denoo G

  1. denoo G

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Wewe ndio umebaki pekee na mambo yako ya kizee, wale wazee wenzio sijui walipotelea wapi.
  2. denoo G

    JamiiForums Tanzania Ni maeneo gani jijini Dar es salaam umewahi kupotea, na mpaka leo bado yanakuchanganya?

    Hivi hapa nimejikuta napita mtaa ambao sikuutegemea na wala siujui kisa kukwepa vumbi lililokuwa likitimuliwa na lori lililokues likija upande wangu. Kila nikikatiza naona kote panafanana, kote kuna chochoro kumbe bahati mbaya chocho nyingine zinaishia chooni kwa watu, kuuliza majirani naona...
  3. denoo G

    JamiiForums Tanzania Ninalaani mauaji ya kijana yaliyofanywa na askari wa Ngorongoro ila ninajiuliza maswali kuhusu hawa vijana waliopotea njia.

    Kupotea njia sio kosa, ni jambo la kawaida hasa ukizingatia mbuga za wanyama zinachukua eneo kubwa sana la ardhi. Swali la msingi la kujiuliza ni je, hao vijana wqlikuwa na silaha yoyote mpaka wahisiwe kuwa wawindaji haramu? Kama jibu ni hapana, na ndilo jibu ninaloamini mimi hasa nikizingatia...
  4. denoo G

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Huo mpango naamini ulishakufa, kimya muda mrefu sana.
  5. denoo G

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Huwa tunakosea kwenye biashara kwenye wepesi wa kumuamini mtu. Binadamu kusema kweli hatutakiwi kuaminiana hata kama mtu ataonesha uaminifu mkubwa vipi kwako. Kama ungekumbuka ungewahi kuwasiliana na bus ulilotuma mzigo uwaambie wakifika wasiukabidhi kwa mtu, baadae mzigo ungerudishwa kwako...
  6. denoo G

    JamiiForums Tanzania Mahari ni lazima, usidanganyike binti

    Mahari sio lazima, usijidanganye. Ipo familia naifahamu imemtoa binti yao bure pesa ya mahari baba wa binti akawaambia wakaanzie maisha. Nimejifunza mahari inapewa umuhimu zaidi wakati huu kwasababu ya hali za kiuchumi kwa familia nyingi ni ngumu. Mdio maana nashangaa wakati mwingine mpaka...
  7. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    Bodyguards siku hizi wana kazi nyingi!.
  8. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    Nonsense. Jana ametuitaje akiwa Zanzibar? Ni hisia hizo?!
  9. denoo G

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Uliwahi lini kufanya sense ukajua TLP, Chaumma, ADC na wengine wamewazidi Chadema kwa idadi ya waislamu? By the way, kufikiria udini kwenye harakati za mabadiliko ni ulemavu mbaya wa akili, huwezi kujigawa katikati ya mapambano.
  10. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    You can't love us kama huwezi kulaani udhalimu wa mama yenu kwetu.
  11. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    mshana JF haina tofauti na maisha halisi tunayoishi mitaani, kukwazana na kupatana ni sehemu ya maisha hayo kutegemeana na mada iliyopo mezani. Sasa isijetokea unamuomba mtu msahama leo kwa tofauti zenu zilizopita, kisha kesho mkakosana tena, binafsi nina wasiwasi kama naweza patana forever na...
  12. denoo G

    JamiiForums Tanzania Amenaswa na maneno ya kinywa chake mwenyewe; Asema - Zanzibar hakuna "aliyenyukuliwa". Watanganyika "Tulinyukuliwa" kwelikweli...!!

    Huyu mama huyu anatukosea heshima sana, asidhani huo mdomo wake na mamlaka aliyonayo ni ya milele. Aache taarabu zake anapozungumzia uhai wa roho za wale wasio na hatia alizozitoa bila sababu.
  13. denoo G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 TEC, ili kuepusha upotoshaji toeni kauli rasmi kwa umma ya mlichojadili na Rais Samia jana Ikulu. Waumini wenu tuna haki kujua mlichopatana

    TEC wamekutana na Samia kutimiza wajibu tu, lakini naamini kabisa hata wao wanajua ukweli Samia hana nia ya dhati kuleta mapatano. So, hata TEC wakikaa kimya sioni kama ni tatizo, ili wasije kuonekana vigeugeu, naamini msimamo wao ndio ule ule juzi, jana, leo na kesho.
Back
Top Bottom