Recent content by denoo G

  1. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kama tunavyowaambia CCM hii nchi sio yenu peke yenu. Vivyo hivyo na CHADEMA hamna hatimiliki ya Ukweli na Demokrasia peke yenu

    Chadema ni chama bora myfriend, wakizungumzia haki wanaeleweka na kuaminika ndio maana watanzania wengi wapo nyuma ya hicho chama. Chadema inaaminika inaposimamia haki, sio kwamba wanajifanya kama ulivyoandika hapa. Wanaaminika ndio maana wana support, hivyo vyama vingine vinavyozungumzia haki...
  2. denoo G

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    Kumbe...
  3. denoo G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Waliua watu wengi bila sababu yoyote ya maana, na kwa kuwa walishaua watu wengi hivyo kwa pamoja, ndio maana sasa hawaogopi tena kuteka na kuua mtu mmoja mmoja.
  4. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kwa mliopo katikati ya miji na viunga vyake sana sana DAR, MORO na DODOMA kwa mbali fanyeni aka kautafiti mtaona

    Habari ndio hiyo, mpaka siku hizi wengine wanaona uvivu kubadilisha majina ya bidhaa wanazouza yaliyoandikwa juu ya mlango wa fremu. Utakuta juu ya mlango wa fremu pameandikwa duka la dawa baridi, ajabu ndani wanaunza unga na mchele. Watu ni wanakinbia hasa.
  5. denoo G

    JamiiForums Tanzania Siri ndio maisha yako, jifunze kutunza siri

    Naamini hili jambo, mipango yangu hasa ya kuongeza kipato huwa napenda sana ibaki siri yangu, hivyo roho yangu inakuwa na amani zaidi, na kama moyo ukiwa na amani basi naamini nafasi ya mioango yangu kufanikiwa inakuwa kubwa.
  6. denoo G

    JamiiForums Tanzania Mmoja kati ya majaji waliopangiwa kesi ya Lissu aliwahi kutuhimuwa na Lissu kuwa aliteuliwa bila kuwa na vigezo. Je, watatenda haki?

    Lissu aende na nondo zake mahakamani, kama hao majaji wakianza kuonesha dalili za hovyo ndio awakatae hana imani nao. Asiwakatae sasa, hiyo itasababisha mahakama ikae zaidi ya miezi sita ili kuipangia hiyo kesi majaji wengine, nae ataendelea kukaa gerezani tu. Asiipe sababu serikali ya...
  7. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kumbe hawa watu wako well informed of what transpired on 29th October 2025

    Hao jamaa nafahamu wanajua kila kinachoendelea hapa nyumbani, hasa kwenye masuala ya utekaji na mauaji. Nikikumbuka ile issue ya Ben Saanane iliyopelekea Makonda kuzuiwa kuingia US, basi sina shaka na hao jamaa wanajua mengi, tena inawezekana wanajua hata yale ambayo sisi wa ndani hatuyajui...
  8. denoo G

    JamiiForums Tanzania Is JF having a homo problem?🤔

    Umewaza mbali..
  9. denoo G

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada, hii ndoto ina maana gani?

    Maandiko yanatuambia hakuna mahusiano kati ya alie hai na alie kufa, hiyo ndoto yako ni matokeo ya kumbukumbu ,a mambo mliyofanya kwa muda na huyo rafiki yako, bado yapo kwenye akili. Baada ya muda hiyo ndoto itaondoka na hautamkumbuka tena, subiria akili yako imalizie kufanya review ya matendo...
  10. denoo G

    JamiiForums Tanzania Msemo wa Sugu ‘matako yenu’ umekaa kishamba sana, aliye karibu naye mwambie aachane nao

    Labda HIP HOP inachangia.
  11. denoo G

    JamiiForums Tanzania Ngono salama hurefusha umri wa kuishi na kuimarisha afya ya mwili

    Tendo la ndoa au kuita ngono hakuna mahusiano yoyote kiroho. Hakuna mahali iwe kwenye biblia au pengine popote tendo la mwilini likahuisha roho. Kama unao mfano toka kwenye biblia tuwekee hapa tuuone, vinginevyo umeandika tu mawazo yako. Kama tendo la ndoa/ngono lingekuwa na uzito au maana...
  12. denoo G

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu mnatia aibu, sakata la vikwazo, huko Bungeni mnamuwakilisha nani?

    Wapi huko?
  13. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Kenya kuna fans wengi sana wa Arsenal, sishangai kwa hilo.
  14. denoo G

    JamiiForums Tanzania IMF, Benki ya Dunia na mkakati wa ukoloni mamboleo: Uchambuzi wa Kitaalamu wa Hoja za Prof. Richard Werner

    Kama masharti ya ImF na Bank ya dunia ni mabaya kwa maendeleo yetu, basi tuache kuchukua mikopo kutoka kwao. Tatizo hatujiwezi, kama tunasubiri mpaka kuwekewa mashimo ya vyoo na wahisani, sidhani kama tunaweza kukwepa mikopo ya hao jamaa. Kama taifa tungekuwa serious kupambana na rushwa...
  15. denoo G

    JamiiForums Tanzania Je, vipi kama Rais Samia naye akazuiliwa kuingia baadhi ya nchi itakuwaje?

    Itakuwa poa tu, kwani vipi?
Back
Top Bottom