Nani akusahihishe ikiwa uko sahihi 99.9%
Lema anajiamini ni msafi ndio maana anaitisha press.
Nataka na yule mwingine ataejiona msafi kama Lema nae aitishe press yake tumsikie.
Watanzania wana haki ya kujua kila kitu kama kweli mnamaanisha Chadema ni chama chao.
Mange ni takataka tu.
Lema aachwe aseme ni haki yake, kama yupo mwingine atakayetaka kuongea nae aitishe press akaseme, itakuwa haki yake pia.
Uoga au kunyamazishana na dhambi.
- Hapa muhimu kutenganisha vitu viwili, moja, utumishi wa taasisi, mbili; masuala yake binafsi.
Tuhuma anazopewa Lema mitandaoni ambazo ndizo huzijibu, directly huwa anatupiwa yeye, sio taasisi, tena mbaya zaidi ni tuhuma empty zisizo na ushahidi wowote zaidi ya "kuwa na D mbili" kama...
Mambo mengine watu wanajiliwaza tu. Haitasaidia hizo form watajaza uongo kama vile CCM wanavyofanya.
Ukiona mtu yupo chini ya kiapo mahakamani na bado anadanganya kuhusu mali alizonazo, kwenye kujaza form ndio atazidisha uongo wake.
Jana Lissu alikuwa pale mahakamani wakati Katuga akimkaanga...
Akijibu wanamuona mbaya wanasema kila siku yupo mitandaoni!
Hawa viumbe wa ajabu sana, wote nikiwasoma kuanzia yule Hilda wa fb, mpaka hawa wa huku JF, hayupo yeyote kati yao mwenye ushahidi wa moja kwa moja kumhukumu Lema.
Wote watakwambia; "ukiangalia kwa jicho la pembeni", mwingine...
- Mimi sio mtu wa mitandaoni sana, hizo pages za Samia na ikulu sijawahi kupita kabisa, kama kuna anayeporomoshewa matusi huko ni haki yake kujibu, kukaa kimya muda mrefu ukizidi kuchafuliwa wapo watakaoamini.
- Uamuzi wa kupost mitandaoni kila muda anaoamua ni wake, tusimpangie maamuzi yake ya...
Kama Lema anashambuliwa mitandaoni hutaki ajitetetee?
Waambieni wale wanaokesha kumshambulia Lema mitandaoni wamuache tuone kama ataendelea kuhangaika na mitandao.
Mara ngapi before Lema amekuwa akionesha maovu ya serikali kupitia mitandao na hatukuwahi kumuona mbaya?
Hao wanaojidai wapo...
Siku hizi mara nyingi tu anatoa taarifa potofu, anadanganya JK mgonjwa baada ya muda mfupi tunamuona JK yupo na ugeni gani sijui huko kwake!.
Kale kamekuwa kaongo kaongo tu siku hizi. Kana mapepe sana na yule mwenzie wa FB.
Lema ni kiongozi mwenye uthubutu, hapendi unafiki.
Watu dhaifu pekee wasiopenda kuambiwa ukweli mchungu ndio watakaomchukia Lema.
Hawa wafuasi wa Chadema humu ndani wanachekesha sana, wanavyojitutumua kumkingia Heche kifua, halafu kesho likitokea kwa CCM watajidai kutaka maelezo.
Double...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.