Hivi hapa nimejikuta napita mtaa ambao sikuutegemea na wala siujui kisa kukwepa vumbi lililokuwa likitimuliwa na lori lililokues likija upande wangu.
Kila nikikatiza naona kote panafanana, kote kuna chochoro kumbe bahati mbaya chocho nyingine zinaishia chooni kwa watu, kuuliza majirani naona...
Kupotea njia sio kosa, ni jambo la kawaida hasa ukizingatia mbuga za wanyama zinachukua eneo kubwa sana la ardhi.
Swali la msingi la kujiuliza ni je, hao vijana wqlikuwa na silaha yoyote mpaka wahisiwe kuwa wawindaji haramu?
Kama jibu ni hapana, na ndilo jibu ninaloamini mimi hasa nikizingatia...
Huwa tunakosea kwenye biashara kwenye wepesi wa kumuamini mtu.
Binadamu kusema kweli hatutakiwi kuaminiana hata kama mtu ataonesha uaminifu mkubwa vipi kwako.
Kama ungekumbuka ungewahi kuwasiliana na bus ulilotuma mzigo uwaambie wakifika wasiukabidhi kwa mtu, baadae mzigo ungerudishwa kwako...
Mahari sio lazima, usijidanganye.
Ipo familia naifahamu imemtoa binti yao bure pesa ya mahari baba wa binti akawaambia wakaanzie maisha.
Nimejifunza mahari inapewa umuhimu zaidi wakati huu kwasababu ya hali za kiuchumi kwa familia nyingi ni ngumu.
Mdio maana nashangaa wakati mwingine mpaka...
Uliwahi lini kufanya sense ukajua TLP, Chaumma, ADC na wengine wamewazidi Chadema kwa idadi ya waislamu?
By the way, kufikiria udini kwenye harakati za mabadiliko ni ulemavu mbaya wa akili, huwezi kujigawa katikati ya mapambano.
mshana JF haina tofauti na maisha halisi tunayoishi mitaani, kukwazana na kupatana ni sehemu ya maisha hayo kutegemeana na mada iliyopo mezani.
Sasa isijetokea unamuomba mtu msahama leo kwa tofauti zenu zilizopita, kisha kesho mkakosana tena, binafsi nina wasiwasi kama naweza patana forever na...
Huyu mama huyu anatukosea heshima sana, asidhani huo mdomo wake na mamlaka aliyonayo ni ya milele.
Aache taarabu zake anapozungumzia uhai wa roho za wale wasio na hatia alizozitoa bila sababu.
TEC wamekutana na Samia kutimiza wajibu tu, lakini naamini kabisa hata wao wanajua ukweli Samia hana nia ya dhati kuleta mapatano.
So, hata TEC wakikaa kimya sioni kama ni tatizo, ili wasije kuonekana vigeugeu, naamini msimamo wao ndio ule ule juzi, jana, leo na kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.