Recent content by denoo G

  1. denoo G

    Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Acha utani, umemuona huyo mtoto ndani ya mwaka mmoja tayari uneshaamua ana kipaji zaidi ya Messi! Ballon d Or, La liga, Champions League, Super Cup, Club World Cup. Hayo mashindano yote hapo juu yanamsubiri huyo mtoto wako.
  2. denoo G

    “Trauma ya Maisha: Nilimkuta Dada Yangu Akiinamishwa na Msela, Mpaka leo sitaki kwenda kwake

    Hiyo si ni style mojawapo tu, kinachokuuma kitu gani wakati dada yako aliipenda? So, ulitaka dadako afe na bikra yake? Hebu acha utoto sahau hicho kichekesho. Then uache kuingia nyumba za watu bila hodi.
  3. denoo G

    Tundu Lissu kukaa gerezani sasa hivi ni 'liability' kubwa zaidi kwa watawala feki, kuliko akiwa nje ya gereza

    Ukweli ndio huo, hii serikali ya kijanja inatuma watu gerezani ili wakamshawishi Lissu akubali masharti yao. Wakati kimsingi, hata zile condition wanazopewa na "international community" mojawapo ni ya kumuachia Lissu bila masharti yoyote. Hawa matapeli wanataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja...
  4. denoo G

    Tanzania miongoni mwa nchi zenye uhuru mdogo zaidi wa mtandao

    Utakuta hao machawa nao wanatumia VPN kuingia JF, ila wakija kuchangia huu uzi wataupinga waseme ni uongo.
  5. denoo G

    Tanzania miongoni mwa nchi zenye uhuru mdogo zaidi wa mtandao

    Ndio ukweli huo, Tanzania bila VPN haiwezekani kabisa kuishi.
  6. denoo G

    Waziri Shemdoe aelekeza wafanyabiashara Soko la Simu 2000 kuendelea na biashara

    Wafanyabiashara kurudishwa ni sawa, lakini kutotakiwa kujenga vibanda badala yake watumie meza na miamvuli, hapo naona hilo eneo linapigiwa hesabu nyingine na serikali.
  7. denoo G

    Ninapotaka kununua ardhi kutoka kwa mtu ni vitu gani vya msingi kuzingatia?

    Peleka hili swali lako kule jukwaa la sheria, uambiwe hatua kwa hatua nini unatakiwa kufanya ili "usipigwe"
  8. denoo G

    Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    Hayo magonjwa ya fungus yanatibika kwa upesi, nenda duka la dawa au dispensary karibu yako upewe dawa za kumeza na kupaka upone.
  9. denoo G

    GRAPHIC-PICTURES: Hezbollah waliogaragazwa huko Lebanon !!

    Aisee... wamechachakazika haswa!
  10. denoo G

    PostGE2025 CHADEMA wakutana na Mjumbe wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Rais mstaafu wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera

    Naamini huyu Chakwera atapokea kila alichoambiwa, asilete editing popote kwenye ripoti yake. Kwasababu hata kama wakifanya ujanja, bado matukio yote ya Okt. 29 yapo mtandaoni.
  11. denoo G

    Polisi Pwani wakanusha Mwigulu kumteka Askari aliyetoa kero kwake kuhusu askari mwenzake

    Waziri Mkuu anatuhumiwa kwa utekaji? Ingekuwa nchi zinazojielewa, hiyo tuhuma pekee ingetosha waziri mkuu kujiuzulu, lakini hapa kwetu ndio tutamshangaa kama akijiuzulu!.
  12. denoo G

    Tizama Hapa: Rasmi Magari Yapunguzwa Katika Msafara Wa Rais Samia ili Kutimiza Ahadi Yake. Yatembea Katika Mfumo Wa Kikomandoo Na Kijeshi

    Halafu crisis ya mafuta ikiisha mnarudi na misafara yenu ya anasa, so what is that?!
  13. denoo G

    Mwanamke Mjamzito Aliepotea Chanika, Dar Apatikana Tarakea Kuelekea Kenya, Akidai Nchi ya Tanzania Imeuzwa Tayari

    Mbona yupo sahihi huyo mnayemuona chizi, hii nchi imeuzwa kweli na wote mnaomshangaa huyo mwanamke nyie ndio machizi wa kweli. Kila siku tunaona na kusikia kila kitu chetu wanapewa wageni, mbuga za wanyama, madini, misitu, mpaka mwendokasi, jumlisha bandari vyote tunaendeshewa, sasa sisi na hii...
  14. denoo G

    TTCL: Mpaka sasa tumefikisha Mkongo wa mawasiliano wa Taifa katika wilaya 121 kati ya 139 Tanzania Bara

    Mkongo wa mawasiliano mikoa yote wakati hata vocha madukani hamna. Nimeishi na line yenu ndio nikaamini hili shirika kweli linajiendesha kwa hasara.
Back
Top Bottom