Recent content by denoo G

  1. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Godbless: Napingana na wengi, siungi mkono mashambulizi dhidi yake

    Nani akusahihishe ikiwa uko sahihi 99.9% Lema anajiamini ni msafi ndio maana anaitisha press. Nataka na yule mwingine ataejiona msafi kama Lema nae aitishe press yake tumsikie. Watanzania wana haki ya kujua kila kitu kama kweli mnamaanisha Chadema ni chama chao.
  2. denoo G

    JamiiForums Tanzania Mello aendelee kupewa maua yake kwa privacy zetu ,wengine si wa kuamini, Roma katofautiana kidogo mawazo na mange kamtisha kumreport wam deport,

    Mange ni takataka tu. Lema aachwe aseme ni haki yake, kama yupo mwingine atakayetaka kuongea nae aitishe press akaseme, itakuwa haki yake pia. Uoga au kunyamazishana na dhambi.
  3. denoo G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Wanaopigana na mimi wataadhibiwa na Mungu muda siyo mwingi

    - Hapa muhimu kutenganisha vitu viwili, moja, utumishi wa taasisi, mbili; masuala yake binafsi. Tuhuma anazopewa Lema mitandaoni ambazo ndizo huzijibu, directly huwa anatupiwa yeye, sio taasisi, tena mbaya zaidi ni tuhuma empty zisizo na ushahidi wowote zaidi ya "kuwa na D mbili" kama...
  4. denoo G

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ilazimishe viongozi wake kujaza fomu za wazi za mali na madeni kuepusha shutuma za ufisadi

    Mambo mengine watu wanajiliwaza tu. Haitasaidia hizo form watajaza uongo kama vile CCM wanavyofanya. Ukiona mtu yupo chini ya kiapo mahakamani na bado anadanganya kuhusu mali alizonazo, kwenye kujaza form ndio atazidisha uongo wake. Jana Lissu alikuwa pale mahakamani wakati Katuga akimkaanga...
  5. denoo G

    JamiiForums Tanzania Kuna habari zingine ukizisikia inabidi ukae kimya kwanza. Hii ya Godbless Lema kuanzia pole ya msiba na kuishi Sea Cliff Hotel miezi 2 inafikirisha...

    Akijibu wanamuona mbaya wanasema kila siku yupo mitandaoni! Hawa viumbe wa ajabu sana, wote nikiwasoma kuanzia yule Hilda wa fb, mpaka hawa wa huku JF, hayupo yeyote kati yao mwenye ushahidi wa moja kwa moja kumhukumu Lema. Wote watakwambia; "ukiangalia kwa jicho la pembeni", mwingine...
  6. denoo G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Wanaopigana na mimi wataadhibiwa na Mungu muda siyo mwingi

    - Mimi sio mtu wa mitandaoni sana, hizo pages za Samia na ikulu sijawahi kupita kabisa, kama kuna anayeporomoshewa matusi huko ni haki yake kujibu, kukaa kimya muda mrefu ukizidi kuchafuliwa wapo watakaoamini. - Uamuzi wa kupost mitandaoni kila muda anaoamua ni wake, tusimpangie maamuzi yake ya...
  7. denoo G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Wanaopigana na mimi wataadhibiwa na Mungu muda siyo mwingi

    Huwezi kutumia pua kuamua jambo lisilohusiana na harufu, acha utoto.
  8. denoo G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Wanaopigana na mimi wataadhibiwa na Mungu muda siyo mwingi

    Kama Lema anashambuliwa mitandaoni hutaki ajitetetee? Waambieni wale wanaokesha kumshambulia Lema mitandaoni wamuache tuone kama ataendelea kuhangaika na mitandao. Mara ngapi before Lema amekuwa akionesha maovu ya serikali kupitia mitandao na hatukuwahi kumuona mbaya? Hao wanaojidai wapo...
  9. denoo G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Wanaopigana na mimi wataadhibiwa na Mungu muda siyo mwingi

    Unajua kusoma na kuelewa kweli?! Lema ametoka wapi kuelezea tofauti na maazimio ya KK iliyoketi? Vichwa vyenu vidogo ndio chanzo cha migogoro.
  10. denoo G

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amtuhumu Lema kuishi sea cliff kwa miezi miwili sasa

    Nikwambie jambo tu. Wachana na mambo ya hao wanaharakati. Usiwape promo kabisa, iko siku utajuta, hawakawii kubadilika.
  11. denoo G

    JamiiForums Tanzania Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

    We jamaa madada zetu waolewe na nani sasa...
  12. denoo G

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amtuhumu Lema kuishi sea cliff kwa miezi miwili sasa

    Siku hizi mara nyingi tu anatoa taarifa potofu, anadanganya JK mgonjwa baada ya muda mfupi tunamuona JK yupo na ugeni gani sijui huko kwake!. Kale kamekuwa kaongo kaongo tu siku hizi. Kana mapepe sana na yule mwenzie wa FB.
  13. denoo G

    JamiiForums Tanzania Lissu amekosea kwenye Final touch. Kumchagua Lema haukuwa uamuzi sahihi

    Lema ni kiongozi mwenye uthubutu, hapendi unafiki. Watu dhaifu pekee wasiopenda kuambiwa ukweli mchungu ndio watakaomchukia Lema. Hawa wafuasi wa Chadema humu ndani wanachekesha sana, wanavyojitutumua kumkingia Heche kifua, halafu kesho likitokea kwa CCM watajidai kutaka maelezo. Double...
Back
Top Bottom