Chadema ni chama bora myfriend, wakizungumzia haki wanaeleweka na kuaminika ndio maana watanzania wengi wapo nyuma ya hicho chama.
Chadema inaaminika inaposimamia haki, sio kwamba wanajifanya kama ulivyoandika hapa.
Wanaaminika ndio maana wana support, hivyo vyama vingine vinavyozungumzia haki...
Waliua watu wengi bila sababu yoyote ya maana, na kwa kuwa walishaua watu wengi hivyo kwa pamoja, ndio maana sasa hawaogopi tena kuteka na kuua mtu mmoja mmoja.
Habari ndio hiyo, mpaka siku hizi wengine wanaona uvivu kubadilisha majina ya bidhaa wanazouza yaliyoandikwa juu ya mlango wa fremu.
Utakuta juu ya mlango wa fremu pameandikwa duka la dawa baridi, ajabu ndani wanaunza unga na mchele. Watu ni wanakinbia hasa.
Naamini hili jambo, mipango yangu hasa ya kuongeza kipato huwa napenda sana ibaki siri yangu, hivyo roho yangu inakuwa na amani zaidi, na kama moyo ukiwa na amani basi naamini nafasi ya mioango yangu kufanikiwa inakuwa kubwa.
Lissu aende na nondo zake mahakamani, kama hao majaji wakianza kuonesha dalili za hovyo ndio awakatae hana imani nao.
Asiwakatae sasa, hiyo itasababisha mahakama ikae zaidi ya miezi sita ili kuipangia hiyo kesi majaji wengine, nae ataendelea kukaa gerezani tu.
Asiipe sababu serikali ya...
Hao jamaa nafahamu wanajua kila kinachoendelea hapa nyumbani, hasa kwenye masuala ya utekaji na mauaji.
Nikikumbuka ile issue ya Ben Saanane iliyopelekea Makonda kuzuiwa kuingia US, basi sina shaka na hao jamaa wanajua mengi, tena inawezekana wanajua hata yale ambayo sisi wa ndani hatuyajui...
Maandiko yanatuambia hakuna mahusiano kati ya alie hai na alie kufa, hiyo ndoto yako ni matokeo ya kumbukumbu ,a mambo mliyofanya kwa muda na huyo rafiki yako, bado yapo kwenye akili.
Baada ya muda hiyo ndoto itaondoka na hautamkumbuka tena, subiria akili yako imalizie kufanya review ya matendo...
Tendo la ndoa au kuita ngono hakuna mahusiano yoyote kiroho.
Hakuna mahali iwe kwenye biblia au pengine popote tendo la mwilini likahuisha roho.
Kama unao mfano toka kwenye biblia tuwekee hapa tuuone, vinginevyo umeandika tu mawazo yako.
Kama tendo la ndoa/ngono lingekuwa na uzito au maana...
Kama masharti ya ImF na Bank ya dunia ni mabaya kwa maendeleo yetu, basi tuache kuchukua mikopo kutoka kwao.
Tatizo hatujiwezi, kama tunasubiri mpaka kuwekewa mashimo ya vyoo na wahisani, sidhani kama tunaweza kukwepa mikopo ya hao jamaa.
Kama taifa tungekuwa serious kupambana na rushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.