Tatizo la kizazi chetu tunakuwa wavivu kufanya utafiti, hakuna cha Kakobe kutapeli wala waumini kumkataa, nani atapeli katika nchi hii kwasasa asifunguliwe mashitaka na kufungwa, au ni nani aliyetapeliwa ajitokeze na aseme. Kakobe Ni mtanzania mzalendo ambaye hana unafiki linalomhusu...
tutaenda naye hivyohivyo tu kama gari bovu tukiona hawezi kutuathiri tutafika naye 2015 ila asahau ubunge kupitia CHADEMA labda safari hii aende NCCR au arudi kwaoCCM. CHADEMA sio size yake, tulifanya makosa kumkaribisha ila hatuna jinsi hebu twende naye hivyo hivyo kiubishi, ubishi. Tutafika!!
nani ataiamini Tanzania kama inafanya hv katika elimu tumeshuhudia upasuaji wa kichwa badala ya mguu kisa eti majina yalifanana, maghorofa yanayojengwa na "waandisi mahiri" nayo yanaporomoka. sasa sijui hawa watafanya kituko gani?
Alianza Geleja kwa mamlaka yake akiwa waziri wa nishati leo hatujui yuko wapi? Mwigulu naye namsikitikia maana tutabaki kumsikia. kisasi huwa ni cha MUNGU
haipo mwaka huu, na mh. Waziri amesema imekuwa ngumu mwaka huu kupanga wanafunzi 10 bora eti kwa kuwa wanafunzi wamekaribiana sana, hata hyo list ya best 10 students haijatolewa ni watu ndo wanajitahidi kutafuta kujua kulingana na matokeo yenyewe
Ifike hatua tasnia hii ya habari iangaliwe upya make ni kama imeingiliwa na mamluki. mtu analala na anakurupuka tu bila kufikiri kwa kina juu ya kile anachokwenda kukiungumza kwa watu, Hivi kama bunge linaonyweshwa "LIVE" tunaona madudu haya, likiachwa kuonyeshwa itakuaje; kimsingi huyu...
Tanzania imetoa nafasi mbili kwa mwaka huu, UDSM nafasi ya 6 na Hubert Kairuki ya 98. South Africa bado ipo kileleni kwa kutoa vyuo 6 kati ya 10 za kwanza. http://www.4icu.org/topAfrica/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.