Mheshimiwa Rais Samia ninakutumia salamu za pongezi nchi hii unaiongoza vizuri sana, tangu nianze kupiga kura sijawahi kuipigia CCM ila safari hii kutokana na uongozi wako mzuri mama nitaipigia CCM, wewe ni RAIS wa kiwango cha dunia, siyo wa kiwango cha Afrika mashariki wala Africa.
Kiashiria...