Recent content by Denis Swai

  1. D

    Utabiri wangu Papa ajaye atatokea Afrika

    CONCLAVE ni mkutano wa Cadrinali wa Roman Catholic kote duniani ambao hukutana VATICAN city katika kanisa la st cecilia bathlica kwa ajili ya kumchagua papa, wajumbe wa mkutano huo wote huwa ni wagombea wa cheo hicho cha pope. hapa bongo atakaehudhuria mkutano huo ni cadrinali LUGAMBWA askofu...
  2. D

    PreGE2025 Arusha: Waziri mkuu awasema viongozi wanaojipanga na kugombania vyeo

    HUYO anayesemwa ni MAKONDA tu anajifanya eti yeye ni zaidi anaweka vi-crip vya kujifagilia mafi yake
  3. D

    PreGE2025 Mrisho Gambo tulia, Makonda siyo saizi yako kisiasa - nenda kwenye profile yake utajua hujui

    hivi nyir mnaomtukuza makonda mnamtukuza kwa lipi? makonda alihusika katika jaribio la kumwua mwanzao Lissu makondza ameibaka elimu ana vyeti frki au tuseme crip hizi za makonda anajifagilia makonda mwenyewe, lakini kimsinga makonda ni shenzi type tu
  4. D

    Ninavyopiga pesa kupitia kinachoitwa 'Match Fixing' za Yanga

    wewe kuna siku utajalia kilio cha mbwa mdomo juu.. iko siku
  5. D

    PreGE2025 Makalla: Uchaguzi mkuu utakuwa huru, matusi na kejeli sio utamaduni wa CCM

    Makalla si mkweli Livingstone Lusinde(kibajaji) ndo mbunge anaeyeongoza kuwa na matusi na kejeli Tanzania nzima
  6. D

    Kwa Mh. Rais Samia,Salamu

    Mheshimiwa Rais Samia ninakutumia salamu za pongezi nchi hii unaiongoza vizuri sana, tangu nianze kupiga kura sijawahi kuipigia CCM ila safari hii kutokana na uongozi wako mzuri mama nitaipigia CCM, wewe ni RAIS wa kiwango cha dunia, siyo wa kiwango cha Afrika mashariki wala Africa. Kiashiria...
  7. D

    Rais Samia ndiyo Rais bora kabisa

    Nimetawaliwa na ma-rais wa awamu zote Rais Samia Suluhu ndiye rais bora zaidi kuliko wote, Mungu amlinde. Kwenye TANU na CCM nilimpigia mbunge mmoja tu nae ni Severino Supa wa Dodoma mjini na nilipata sijampigia kura rais yoyote wa TANU na CCM ila safari hii uchaguzi unaokuja nitampigia kura...
  8. D

    Ushindi wa Sharifa Suleiman wa BAWACHA ya Chadema ni Ujumbe tosha kwa Lissu na Wafuasi wake kwamba Sera za Ubaguzi zimekataliwa

    wewe mleta mada ni kibaraka wa Magufuli na ushindwe kabisa na roho yako mbaya dhidi ya Lissu pumbafu zako
  9. D

    Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

    wewe ndo mpuuzi mwili mzima sasa je! MBOWE iliianzisha CHADEMA au ndo alikuja kuifuja CHADEMA
  10. D

    Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

    CHADEMA iliasisiwa na MTEI,BOB MAKANI NA BROWN NGWILILUPI
  11. D

    Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

    WEWE MGUNYA ndo mpotoshaji pumbafu wee
  12. D

    Iran na mashariki ya kati yote kumjibu Israel kwa pamoja

    Ile vita ya mwaka 1973 ndo ilikuwa nchi mbili hizo ulizozitaja tena waarabu walipigwa vibaya mpaka rais ANWAR SADAT wa Misri alienda ISRAIL MWAKA 1979 KUOMBA PO
  13. D

    Iran na mashariki ya kati yote kumjibu Israel kwa pamoja

    Katika vita ya siku sita mwaka 1967 nchi zote za kiarabu zipatazo 13 kwa pamoja waliamua kuishambulia Israel ili kuipoteza katika ramani ya dunia lakini ndani ya siku sita nchi zote hizo zilipigwa vibaya na kusababisha maumivu makali kwa rais wa Misri GAMALABDUL NASSER hADI UMAUTI UKAMFIKA KWA...
Back
Top Bottom