Recent content by denis charles

  1. D

    Bomoa bomoa yavaa fukwe za Mbezi Beach; Kuacha kilio kwa matajiri wavunja sheria!

    Sio kweli kwamba Tubaijuka alishindwa na Lukuvi mbona hakuvunja?.Muhm muelewe Ardhi bila mamlaka za juu ni kazi bure.The President is vested much power to make it possible. Kama Raisi hataki hats Waziri afanye mini hawezi. Hongera Msgfuli
  2. D

    Bomoa bomoa yavaa fukwe za Mbezi Beach; Kuacha kilio kwa matajiri wavunja sheria!

    sio kweli Tubaijuka alishindwa na lukuvi alushindwa?.kitu muhmu in kwamba maswala ya Ardhi bila mamlaka za juu ni kazi bure. Kwahiyo Still Raisi in kiungo muhmu. Hongera sana Magfuli
  3. D

    Profesa Anna chupuchupu kukamatwa na PCCB

    Oh! Kama rules and regulations haziruhusu mchangiaji kutambulika kwa jina basi niombe msamaha kwa hilo. Labda nifafanue kwamba mimi niliamua kujitambulisha kwa jina langu, kama njia mbadala ya kudhibitisha kile nilichokisema kuwa ni cha kweli, na niwe tayari kuwajibika. Aiingii akilini mtu...
  4. D

    Profesa Anna chupuchupu kukamatwa na PCCB

    Kama unagombea hiyo ni haki yako, lakini sio vema kwenda kwa staili ya kuongea uzushi husiokuwa na chembe ya ukweli. Kama huo ndo mkakati wako, you better finetune your strategy.
  5. D

    Profesa Anna chupuchupu kukamatwa na PCCB

    Haya Makubwa! Mimi mwenyewe niliudhuria semina ile ya Wafanyabiashara ya Ndizi wilayani Muleba. Semina ile ilitokana na maombi ya wafanyabiashara hawa kupitia mratibu wao Bwana Evodius (0754766621), siku ya tarehe 02.jan.2015 kwenye kikao cha viongozi wa chama wa Matawi na Kata. Katika semina...
  6. D

    Mama Tibaijuka anatafutwa

    Sikiliza hadithi nyingine,kama wewe ni mfuatilia mzuri wa thread za jf,utakumbuka kuwa 10,July.2013,M.Tibaijuka alitoa ufafanuzi wa ziara yake jimboni Muleba kwa kutumia Ndege ya serikali.Miongoni mwa maeneo aliyoyatolea ufafanuzi ni pamoja na Kimeya jinsi alivyofika na kuwaona wagonjwa na...
  7. D

    Mama Tibaijuka anatafutwa

    Ndugu Msanii,Ujumbe wako tumeupata,lakini Mm niyaendika mpaka sasa nipo jimboni Muleba.Hata M.Tibaijuka ametoka huku,ni wiki moja imepita tu.Swala la Afya linajulikana na hivi majuzi,Mh.Tibaijuka amekamilisha mpango wa kuanzisha Bohari kuu ya kusambaza dawa kwa Mikoa ya Geita,na Kagera,ambyo...
  8. D

    Mama Tibaijuka anatafutwa

    Kama unambua kuwa maneno haya yapo hata kwenye kanga ambazo huvaliwa na akina Mama ,jua kuwa yamesambaa sana Tanzania nzima na Muleba ikiwemo.Ni ushahidi tosha kuwa safari yako bado ni ndefu,lakin naona kama vile unakata tamaa.pole ndo ukweli wenyewe huo.
  9. D

    Mama Tibaijuka anatafutwa

    Ndugu yangu sio raisi kujipanga kuchukua jimbo kwa kusema uongo.Ushauri jaribu kujipanga,vizuri kwa mikakati,kwan yule Mama sio Jembe tu bali ni Nyundo pia.Utashindwa mtihani hata kabla hujaanza.
  10. D

    Mama Tibaijuka anatafutwa

    Ndugu wan Jf.nawasalimu nyote.Kwa kuchangia tu kwenye maada hii,mm binafsi ningeomba mtoa maada alipoleta maada angeikamilisha vizuri kwa kubainisha ni zahanati zipi na vijiji gani vinavyomtafuta mh.prof.tibaijuka.Kwanza kasema Mama Tibaijuka anatafutwa jimboni,kule vijijini Muleba,angebainisha...
Back
Top Bottom