uthibitisho umetokea wiki iliyopita tuu nchi jengo limedondoka k/koo jeshi halina facilities za uwokozi watu wamepotez maisha na wengine kupata hasala alaf inatoka million 700 kwa kuwapongez wachezaj wamefuz 🙄
Mwisho yale maneno yalimfikia yule single mother kwaiy yeye ndio akayakataa yale mausiano licha ya kutumia nguvu kubwa kumueka saw ila aikua lizik kwa jmaa
Jamaa yangu alienda kumtambulisha mchumba wake kwao ambae ni single mother , mama mzazi wa mshikaj akaja juu na kukataa hayo mausiano huku baba yake akiwa kimya , kisha jamaa akamuuliz mama yake mbona wewe baba alikuoa wewe ukiwa na mtoto je kulikua na shida yoyote ile
Aiseee mama alanza...
hawa ndio wanakuja na hoja za kipuuzi mzazi hakosei MZAZI ndio nan kwan kam amezaliw n mwanadam anakosea na mzazi anawekwa chini anachanwa kwa mungu akuna laan za kipumbavu
Mama zangu ,bibi zangu ,mashangazi zangu na dada zangu wanaongelewa ivyo ivyo n watu wengn kweny ukwel tuusema ata vitabu vya dini vimeainisha ivyo ni viumbe dhaifu tena tuishi navyo kwa akili na kutawaliwa
Wanawake wa kuzaz kipya wana changamoto za kufa mtu kibaya zaid zile njia za asili za...
Kama wewe utaweka ivyoo tutaanza kuja na taster ili kupima ili tufany kazi zetu kiuhadilifu ila kingine uwa tunafany mambo yetu pindi umeme unapokatik maan giza kwetu ni fulsa
Ni mkazi wa mbezi kwa msuguri mtaa wa singida ila anafanyia shughuri zake mataa wa masaki za uwakala wa fedha mitandaoni
Kwanza huyu jamaa ni muhaa alaf ajakula ata x-mas 5 mjini hapa kwaiy bado anakaushamba flan ambacho kimekuwa powered na online tv kwa kumuaminisha akifany inyoo atakua...
Nimeshuhudia wagonjwa wa ukimwi na wakisukar wakipoteza uhai kwa kuaminishwa wameponywa hivyo waacha dose zao za magonjwa kitu kinachopelekea umauti kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.