Recent content by denhoo

  1. denhoo

    Tusipowakemea hawa wabunge wanaobeza elimu yetu na wasomi wetu, tutazalisha Taifa la hovyo kabisa

    Sio vyema kubeza elimu yetu hata kidogo kwa tabia za wasomi wachache, Tukianza kuangalia tangu nchi hii imepata Uhuru maendeleo yote yamesimamiwa na nao wasomi wetu mfano. Elimu Afya Miundo mbinu Majeshi Kilimo Mawasiliano Maji Umeme Nk.Tulipotoka na tulipo kwa juhudi za wasomi leo hii...
  2. denhoo

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Hv kutokuwa na kisogo ni ulemavu au????
  3. denhoo

    Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

    Hapana wale omba omba waendelee kukaa wenyewe ukiwachanganya na wachapakazi watawaambukiza uvivu, Acha waendelee kulelewa na serikali.
  4. denhoo

    Januari 3, 2023 kutakuwa na kupatwa kwa sayari ya Mars

    Nimeangalia ila sìjajua umuhimu wa tukio hili
  5. denhoo

    Taja Tabia zinazokukera/kuudhi kutoka kwa baadhi ya Watanzania wenzako

    1. Roho mbaya 2. Ubinafsi Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  6. denhoo

    Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Hii game ilituumiza wengi Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  7. denhoo

    Zijue namba za Magari na maana zake

    Kuna plate namba nyingine JU - JESHI USU Jeshi la uhifadhi misitu na wanyamapori kama ifuatavyo 01 JU alafu namba - Kamishina uhifadhi Ngorongoro 02 JU alafu namba - Kamishina uhifadhi Tanapa 03 JU alafu namba - Kamishina uhifadhi Tawa 04 JU alafu namba Kamishina uhifadhi TFS
  8. denhoo

    Mbeya: kilyamatundu

    Mbeya - kilyamatundu mbona Kama ushapotea maana najua kilyamatundu - Ni mkoa wa Rukwa wilaya ya Sumbawanga au majina yanafanana
  9. denhoo

    Video: Vijana wa JKT waanza mafunzo JWTZ, wengine watoroka

    Well said kaka, Enzi za Mwalimu tekinolojia ilikuwa sio kubwa sana hata ukihitaji video utachukua na nini??, all in all yanayofanyika huko jeshini mtaani pia watu wanafanya kwa kuangalia majeshi ya wenzetu. Hakuna kipya
  10. denhoo

    Jenerali Mabeyo kaufanyia nini muziki wa Tanzania hadi kupewa tuzo ya heshima

    Nikisema nilie na huyu hapa anamaisha yake .. nikisema nilie na yule pale anamaisha yake.....
  11. denhoo

    Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

    Hv kumbe bado Kuna watu serikali hii wanapokea mishahara miwili au mm ndio sijaelewa Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  12. denhoo

    Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!

    Ni jambo lisilopingika wasukuma ni wengi kanda ya ziwa na ndio kabila lenye watu wengi. Uchaguzi 2015 kanda ya ziwa ilikuwa timu Lowasa hadi dakika za majeruhi uliingizwa ukabila sijawahi kuona unaingiza mmasai ikulu ili hali mnajua ndio wezi wa mifugo yetu mnafikili akipita hali itakuaje sumu...
  13. denhoo

    Mwalimu mstaafu apata kichaa baada ya kudhulumiwa milioni 20

    Yote tisa kumi mwalimu kweli kachoka, inaonekana alikuwa na mawazo sana
  14. denhoo

    Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

    Sio gari tu hata mademu 1. Awe anapatikana muda wote 2. Asiwe na tumbo kubwa 3.Awe na kalio 4. Awe na sura nzuri 5. Awe hapendi kuombaomba hela(fuel consumption) 6. Awe mcha MUNGU 7. Awe amesoma 8. Awe anajua kupika 9................ 10............ But all in all mipango sio matumizi hakuna...
  15. denhoo

    Serikali yaanza kuwafuatilia Madaktari walioajiriwa Halmashauri na kuacha kazi au kuhamia sekta binafsi

    Ukiona mshahara mdogo acha kazi Nimeacha kazi nimeambiwa nitafutwe niliko nirejeshwe kazini Mwingereza kwanini alitupatia uhuru????? Tanzania nazani tulitakiwa kupewa uhuru.
Back
Top Bottom