Niko pamoja nawe hao roho na wivu wa kijinga unawasumbua.donge la nn bwana kama watu wanamkubali Zito muawache.pokea barua Mh rais mtarajiwa then fanyia kazi kama wananchi wa mtwara walivyokuamini
acha woga. waache waende izo gharama zote zitalipwa na UN .jk sio mjinga kupeleka wanajeshi wake kongo kwa gharama za nchi. mfano Tulivyoenda Comoro mapesa tuliyolipwa mungu ndio anajua.tatizo mafisadi wengi.
mfano mwingine wanajeshi wa kenya walipoingia somalia sasa UN inawalipa gharama zote...
Kaka Phillemon Mikael, kwa sasa mahitajio yameongezeka kaka jeshi limepanuka na kuwa la kisasa hawa wote wanahitajika ktk majukumu ya kitaifa ndio maana wamepanda ata katiba mpya ikiwekwa na kuamuliwe kuwa na LT GEN WATANO lakini wigo wa kazi na mahitajio ya rank watu wasipewe kisa katiba...
Phillemon Mikael kaka mahitajio yameongezeka usilalame tu.sasa kama tumepata nafasi kufanya kazi nje ya nchi na wanahitaji watu ma rank hizo tusiende kisa tuna Lt gen mmoja.
akili zako ndio zinakutuma ivyo kwa taarifa yako hadi wamerekani,wachina wapo pale wanapiga buku. so kama ingekuwa kama shule za kata wasingeleta watu wao tena nchi inalipwa madola
Tena Watanzania. watambue jeshi letu linafanya kazi nzuri ktk medani za kimataifa ndio maana tumepata nafasi huko nje na zinahitaji watu ma rank hiyo rais aliyowatunuku hao makamanda.
Muache mazoea ya kumsema rais.pia mwanzo hatukuwa na chuo cha NDC sasa tunacho ambacho kitapunguza gharama za...
wewe usiwe mjinga kuzungumza vitu usivyovijua. makakala anastaafu mwakani na cheo alichopata ataendelea kuwa mkuu wa NDC .chuo kinahitaji kuongozwa .a. mtu wa
cheo alichopewa.pia kisamba ni anaongoza majeshi ya kulinda amani kutoka nchi mbali mbali huko Darfuu-sudan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.