Recent content by DellDA

  1. DellDA

    Wenye uzoefu na biashara ya mkataba kwa bodaboda na bajaji naomba mnielimishe

    Vijana wezi wataongezeka mtaani. Boda ziemdelee tu kuwepo watu wajitafutie mlo
  2. DellDA

    Faida za mkopo wa muda mrefu na mfupi

    Habari za jioni wakuu Nimeamua kuanzisha uzi huu ili iwe ni chanzo cha kujifunza mawili matatu kwa watumishi wa umma kuhusu mikopo inayotolewa na benki mbali mbali kwa watumishi wa umma. Kumekuwa na malalamiko na vilio kwa watumishi wa umma kuhusu mikopo wanayopewa na benki. Wengi wao...
  3. DellDA

    Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Kwa Dar sjajua soko lipoje, huku mikoani abiria hawachagui brand, wanapanda yoyote itakayokuwa mbele yao. Na hizo brand zingine mimi sjawahi Miliki mi nipo n TVS
  4. DellDA

    Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Mimi ninayo moja na inamwaka na miezi miwili sasa lakini matengenezo makubwa niliyofanya yaligharima 50,000 niliwepa lakini mara kwa mara huwa yanachezea 28,00 hadi 34,000 kwa kila siku 14. Na vitu vya kurekebisha mara nyingi huwa ni grease,oil, plug, rubber bush Madereva rough rough fukuza...
  5. DellDA

    Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Bila shaka kuna mahali panavuja, mimi naona ukinunua used ndio huwa zinasumbua service. Lakini mpya atleast 2years zikiwa barabarani ndio matengenezo ya gharama huanza
  6. DellDA

    Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Kwa bajaji mpya kama dereva mzuri, Barbara ya lami kila service maximum 35,000@kwa kila bajaji. Na hii inafanyika kila baada ya siku 14 (once in 2weeks).
  7. DellDA

    Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

    Kumwaga oil ni 2weekly kwa uzoefu niliona, labda kama kuna wataalamu wa Mechanical humu watusaidie
  8. DellDA

    Naingia mwaka 2023 na Malengo yafuatayo; Tuonane December 28,2023

    Kama nimemwelewa ni 60,000 kila mwezi kwa ajili ya mavazi hivyo 60,000x12 = 720,000
  9. DellDA

    Ukitaka kufungua ‘bakery’ ya mikate , fuata hatua hizi rahisi

    Share maarifa humu, wanajamii wanufaike
  10. DellDA

    Naombeni wazo la biashara kwa mtaji wa 2.5M

    Hongera Kwa kuwa na mtaji, hatua iliyobaki , aina ya biashara na location/site nzuri Kwa biashara husika. Wadau wenye mawazo tusubiri waje
  11. DellDA

    Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

    Mabasi managpi yanapata ajali ? Hizi ni ajali kama ajali zingine mbona hata mataifa ya ulaya ndege zinapata ajali na kuanguka
  12. DellDA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Wapi hiyo mkuu wanapoingiza 50-60 per day
  13. DellDA

    Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

    Mliopo msumbiji, deal hilo hapo japo halitofautiani na betting
Back
Top Bottom