Habari za jioni wakuu
Nimeamua kuanzisha uzi huu ili iwe ni chanzo cha kujifunza mawili matatu kwa watumishi wa umma kuhusu mikopo inayotolewa na benki mbali mbali kwa watumishi wa umma.
Kumekuwa na malalamiko na vilio kwa watumishi wa umma kuhusu mikopo wanayopewa na benki. Wengi wao...
Kwa Dar sjajua soko lipoje, huku mikoani abiria hawachagui brand, wanapanda yoyote itakayokuwa mbele yao. Na hizo brand zingine mimi sjawahi Miliki mi nipo n TVS
Mimi ninayo moja na inamwaka na miezi miwili sasa lakini matengenezo makubwa niliyofanya yaligharima 50,000 niliwepa lakini mara kwa mara huwa yanachezea 28,00 hadi 34,000 kwa kila siku 14. Na vitu vya kurekebisha mara nyingi huwa ni grease,oil, plug, rubber bush
Madereva rough rough fukuza...
Bila shaka kuna mahali panavuja, mimi naona ukinunua used ndio huwa zinasumbua service. Lakini mpya atleast 2years zikiwa barabarani ndio matengenezo ya gharama huanza
Kwa bajaji mpya kama dereva mzuri, Barbara ya lami kila service maximum 35,000@kwa kila bajaji. Na hii inafanyika kila baada ya siku 14 (once in 2weeks).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.