zakaria massa
Member
- Sep 5, 2018
- 26
- 7
Naombeni wazo la biashara kwa mtaji wa 2.5m
Karibuni
Karibuni
Hizi 2.5M umezipataje?Naombeni wazo la biashara kwa mtaji wa 2.5m
Karibuni
Katunza salary yakeHizi 2.5M umezipataje?
Ndo utupieKumbe wenzangu mna mitaji,mm nina notebook ina mawazo ya biashara tu😂
Fungua sehemu pika ugali dona,mboga za majani,na kuna rost ya nyama tamu sana yani ukipika sehemu penye mkusanyiko wa watu unauza mpaka unakimbia ela,anaanza kuuza saa 2 asubuhi mpaka saaa 6 mchana ushakunja laki zaka kama kadhaa hiviNaombeni wazo la biashara kwa mtaji wa 2.5m
Karibuni