Ni kweli kabisa ndoto zina maana kubwa sio zote lakini zile za Mungu Kwa upande wangu ni shahidi na Mungu kupitia hili nimejifunza na amenionyesha makubwa na kunifungua pia kiroho
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Good,nafsi moja inaposimama na kuamua jambo Mungu hutii na kusikiliza na kusaidia,lakini pia walio tofauti na wewe hunyenyuka na vita yake sio ya kitoto,Mungu akusaidie
Ukiwa vizuri na Mungu hukufunulia mambo mengi Kwa njia tofauti taofauti kama maono,ndoto,ishara n.k hata watu wabaya hata wakiwa wa karibu yako utawajua tu kikubwa kusimama imara,na katika ukoo Kuna mambo mengi sana sio wote watakuwa safi wengine walishaingia mikataba na mizimu zamani sana,Kwa...
Iko hivi shetani anajua Kila kitu kuhusu biblia,anajua kuomba sana maana kabla hajamuasi Mungu alikuwa karibu naye Kwa hiyo Kila kitu anakifahamu nje ndani,unaposali maanisha usiwe na ule wasiwasi hata lijitu lije Kwa namna gani ukiomba na kukemea Kwa imani na ukitumia damu ya Yesu au moto ulao...
Na zinanyanyuka kwelikweli ukiwa mwepesi unaweza ukanyoosha mikono,lakini iko hivi,unapoamua kufanya kitu unafanya kwa imani na kwa kujitoa kote hata kama ni hatari kiasi gani,katika ulimwengu wa giza kuna connection kubwa sana ambapo waweza shangaa wachawi kiuhalisia hawajawahi kuonana lakini...
Mizimu ni dhana ya kiroho inayopatikana katika Mila na baadhi ya jamii fulani,ambayo inahusu roho za watu waliofariki ambazo bado huweza kuwasiliana na ulimwengu wa walio hai.Musa na Eliya ndo watu waliomtokea Yesu alipokuwa mlimani lakini wao hawakua mizimu bali walikuwepo kama...
Ntakujibu kulingana na uwezo wangu nielewavyo,mizimu sio sehemu ya Mungu,hivyo basi ndio maana hata tunaposali tunatakiwa kujivua,kujiondoa,kujitoa na roho za mizimu,kwani hamna mizimu iliyo na upande chanya %kubwa zina pande hasi,ukristo na mizimu ni vitu viwili tofauti.
Hujawahi kutana na kipro max aisee,Ile hata ukikaa unasema kweli pale roho,nafsi,mwili vyote vilikuwa vinasalute,hata muachane aiseee miaka hata mitano ipite utapasha tu[emoji23]hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.