Recent content by delas

  1. delas

    Nyimbo 10 bora za kuwasindikiza mnapokuwa faraghani

    Naikubali sana ngoma ya nemo-baby sema, naomba mwenye nayo tafadhari anitumie
  2. delas

    Nyimbo 10 bora za kuwasindikiza mnapokuwa faraghani

    Naomba wimbo wa zahir zoro akiwa na mass media band unaitwa Beatrice affairs
  3. delas

    Mbowe na Maalim Seif wafanya kituko kingine cha kisiasa hadharani!

    Unashangaa mbowe kuwasahau wahasisi wa ukawa, haushangai Nyerere kuwasahau wahasisi wa Muungano? (Aboud Jumbe)......Nawee ni mtengeneza pesa pia na ndio maana unafikiria kuanzishwa kwa ujasiriasiasa Sent from my itel it1407 using JamiiForums mobile app
  4. delas

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Naunga mkono hoja ila hofu yangu utaishia kutafutwa wewe ulietoa hili wazo maana umeigusa Ikulu, bora tupige kimya tuu amani tuwe nayo
  5. delas

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Jamani hii miemuko ya ugeni wa siasa ndio inatukurupua na kutema mapovu dizain ya sabuni ya omo mitandaoni, ebu tutulize fikra zetu kabla hatujajishusha kiweledi kwa jamii kupitia mitandao......Sakata la Richmond kupitia tume ya Mwakyembe ilimtaka lowassa kujiudhuru kwa uwajibikaji wa cheo...
  6. delas

    Uongozi Chuo kikuu kishiriki Muhimbili umewazuia wahitimu wa Kikristo chuoni hapo kufanya mahafali

    Inatia huruma kweli, kila Siku Hawa watu wanajaribu kuutafuta ukimya wa lowassa kwenye matokeo ya uchaguzi, duuuh so ni government against lowassa na sio government against citizen's problems
  7. delas

    Uongozi Chuo kikuu kishiriki Muhimbili umewazuia wahitimu wa Kikristo chuoni hapo kufanya mahafali

    Kwani mgeni rasmi huitwa kwa sababu zipiii??? Kwenye maafali...
  8. delas

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Tatizo sisi nao sio wasafi, tumejaa uovu ambao lazima tuzae manabii waovu kwa kizazi kijacho
  9. delas

    MBEYA: Walimu 4 wamvua nguo na kumchapa viboko mwanafunzi huku mmoja akimtomasa nyeti

    Hapa kazi tuuu, haijaliwi wapigao kazi ni mburula kiasi gani.....nazani kabla ya kuwaajiri walimu kwanza wapimwe kisaikolojia na uathirika wa dawa za kulevya maana matendo haya yakinyama sana sio bure
  10. delas

    IRINGA: Askari aliyemuua mwanahabari Daudi Mwangosi afungwa miaka 15 Jela

    Baaado, huu ni uonevu tuu kumfunga peke yake na kumuacha aliyemtuma
  11. delas

    Mkakati ule ule ulitumiwa na CHADEMA juu ya madhaifu Lowassa ndio unaotumika sasa na wazalendo wote

    Huu ni uzaifu mkubwa wa wanaccm wanaojiita wazalendo, sisi waTz wazalendo halisi hatuitaji kulisikia kabisaaa jina la lowassa Bali tunaitaji tuone mafisadi wa escrow, lugumi, Richmond n.k wakipotezwa, sasa ninyi kila kukicha mnajihami kwa jina la huyu baba utazani yupo peke yake, mpelekeni...
  12. delas

    Mliokuwa mnasema "tatizo siyo mtu, tatizo ni mfumo" mnasemaje sasa?

    Tatizo ni mfumo tuu haikwepeki, maana anachofanya kukimbizana na wauza chips Hata mgambo alikuwa anatekeleza hilo, tutasema tatizo ni MTU endapo rais ataipitisha rasimu ya walioba na kuwateketeza mafisadi wakiongozwa na mkuu wetu mstaafu waliotufikisha hapa.........HAPO NDIPO TUTAONA TOFAUTI
  13. delas

    Loliondo Saga: Wakili akamatwa kwa tuhuma za ujasusi, Mawakili Arusha waandamana kupinga

    Polisi wanakiburi sana maana Hawa ndio wanaolinda Tz isipate mabadiriko, so wanajua mkuu anafurahishwa na ubabe wao
  14. delas

    Masikini Babu Seya, hali yake kiafya yawa mbaya apelekwa Muhimbili

    Ukiikagua rufaa ya babuseya iliyotolewa mahakama ya rufaa kisutu, tunafikia muafaka kuwa Uhuru wa mahakama Tz ni wamaandishi tu na sio vitendo, kila nikiperuzi nakala za hiyo hukumu naiona nguvu ya executive juu ya judiciary
Back
Top Bottom