Recent content by Dela

  1. Dela

    Nyumba Inauzwa ipo Temeke Wailesi!!

    Nyumba inauzwa ipo Maeneo ya Temeke Wailesi jijini Dar es salaam. ipo eneo lililopangwa vizuri yaani ni mtaani. Inauzwa kwa bei ya Milion 180. Nyumba ina nyaraka zote na haina mgogoro wowote. Nyumba ina vyumba vya nyumba kubwa na Mabanda ya uwani. Kwa Mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba...
  2. Dela

    Nataka kutengenezewa blog

    Elfu 60 tu. ndan ya siku 3 unapewa kaz yako
  3. Dela

    Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

    Hajafanikiwa Bado... Mpigie simu maana hana access ya net, nilimtext kumwambia anauliziwa JF akasema hajafanikiwa na cm anayotumia now hai support net.
  4. Dela

    Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

    Hajafanikiwa Bado... Mpigie simu maana hana access ya net, nilimtext kumwambia anauliziwa JF akasema hajafanikiwa na cm anayotumia now hai support net.
  5. Dela

    Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

    kapuman njoo huku boy....
  6. Dela

    Nahitaji domain kwa ajili ya blog yangu

    wasiliana nami kupitia 0719447204. ntakufanikishia suala lako.
  7. Dela

    Njia ipi inaweza kuniingizia kipato kwenye blog tofauti na Adsence ?

    kikubwa ni traffic. na mbinu za kupata unique visitors. binafsi nna akaunti zaid ya 10 za adsense, mtu anapewa on demand na kupewa maelekezo zaid juu ya utumiaji.
  8. Dela

    Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

    mike matangazo ya kampun nyingne humu unayaona? jaribu mike.
  9. Dela

    Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

    changamoto. uskonde mike.
  10. Dela

    Soko la mayai, je hii ni kawaida?

    mimi nauza kwa jumla. wafugaji tuwasiliane tufanye biashara. 0752 981380
  11. Dela

    Nahitaj Noah ya kukodi kwa kesho

    tunatarajia kwenda chamaz kesho. tunatafuta noah ya kukodi. dereva yupo. mwenye kuwa nayo tafadhal nichek now. 0752 98 13 80.
  12. Dela

    Nahitaji kuwa na blog kama njia ya kujiajiri

    wasiliana na tzbloggers@gmail.com watakusaidia mno. au ni pm namba yako.
  13. Dela

    Msaada juu ya biashara ya blogging na website

    wasiliana na tzbloggers@gmail.com, watakufahamisha mengi.
Back
Top Bottom