Recent content by Dejong031

  1. D

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Uzi mbona hauji? Au mpaka saa sita? INSIDER MAN
  2. D

    Line za MTN zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?

    Nawezaje kupata kwa hapa Dar line za MTN for Rwanda, msaada
  3. D

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kaka una safari ndefu sana mpaka umalize[emoji16][emoji16][emoji16] Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  4. D

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Tupige hata " addition" kaka hii arosto sio poa
  5. D

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kaka ni.eonaa habari za next week huko juu, asee hiyo adhabu ni kubwa tafuta namna, hata utuchape vi episodi viwili kabla ya j pili..[emoji52]
  6. D

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kaka stori saa ngapi? Nimeshaoga nimepaka mafuta , simu full charge nasubiri muendelezo.
  7. D

    Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

    Binadamu wote ni wavivu ndio maana zikatengenezwa baiskeli, pikipiki na magari kurahisisha usafiri, watu wakatumia trecta badala ya jembe n.k
  8. D

    Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

    Waliolipia ile wanasema hamna cha ajabu.
  9. D

    API ni nini katika ulimwengu wa software?

    Mzee nimepata pa kuanzia sasa , hii concept imenisumbua sana.
Back
Top Bottom