Recent content by DeInvincibl3

  1. D

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume mwenzangu kuniambia eti 'ananimiss?'

    hahahaaaaa...., hilo hapo kweli tatizo...
  2. D

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume mwenzangu kuniambia eti 'ananimiss?'

    tatizo ni kwamba enzi English haijasambaa vizur bongo neno I miss u lilikua likisikika kwa wapenz tu, xo wengi wanalichukulia neno la kimahaba zaidi. ila in true sense hamna tatito lolote kumwambia mtu I miss u. it means umemkumbuka...hayo mengine complications tuu.
  3. D

    tuition fee at st. Joseph university

    kwa anayejua ada ya st Joseph university ya dsm kwa course ya bachelor of education with computer science naomba aniambie!!!! ahsante
  4. D

    Kuna mtu yeyote aliyefungua website ya tcu na aka login

    daaah! hunishindi! ngoja tuwe wapole tuu
  5. D

    Confirmed: Tcu selection

    airtel wajiandae kupokea mitusi tuu
  6. D

    Kujichubua uso wanawake wetu-wawe weupe kidogo

    siijui nani kawadanganya ukiwa mweusi hupendwi.?? jitu linajichubua hadi linatisha. acheni bana mnaudhi
  7. D

    Ufupi kwa wanaume ni janga jingne katika mahusiano

    naunga mkono, jamaa confidence zero
  8. D

    Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

    inaweza ikawa vizur au vibaya. ilihali we mwenyewe ushajua huyo ni mwanafunz jitahidi kumsaidia asome
Back
Top Bottom