Recent content by deezekiels

  1. deezekiels

    Nafasi za kazi kutoka Cvpeopleafrica

    Hizi kazi Hazipo ndani ya tovuti Naomba ufafanuzi jinsi ya kuapply
  2. deezekiels

    Nafasi za kazi kutoka Cvpeopleafrica

    Hawa jamaa ni smart recruiters They know that they are doing Ukiwa mteja wao na ukawapa vigezo vya nafasi fulani ya kazi, kiukweli watakukupa the best candidate Tatizo wabongo tunezoea kupeana kazi pasipo kumeet vigezo Mimi binafsi nafurahia utendaji kazi wao Wako very organised na they...
  3. deezekiels

    Mshahara wa 5 year experience engineer

    Kaka nimeitwa kwa usaili
  4. deezekiels

    Electrical Engineer 3 - 5 yrs experience

    Habari za Leo wadau Nahtaji electrical engineer mwenye uzoefu wa kazi za viwandani au electrical woeks mwenye uzoefu Kati ya miaka 3 hadi 5 Tuma CV:deezekiels@yahoo.com Asante
  5. deezekiels

    Mshahara wa 5 year experience engineer

    Habari za muda wadau Naomba kufahamu mshahara wa 5yrs experienced engineer pale DUWASA dodoma Asanteni
  6. deezekiels

    Swali: Je kuna watu wanapata Kazi kupitia Humu JF

    Mitandao ya kijamii ni sehemu mojawapo ya kupata taarifa za Ajira na kadharika Hivyo kupata kazi ni hatua baada ya taarifa
  7. deezekiels

    TBS usaili

    Zote Ni siku na mda mmoja..
  8. deezekiels

    TBS usaili

    Habari zenu jamani, niliomba nafasi 3 za Kazi tbs, zote nimeitwa na zote usaili ni tarehe 31/07/2014 saa 8:30 - 10:00, msaada wenu wadau kuhusu hii issue..
  9. deezekiels

    Gharama za kutoa gari bandarini

    Habarini wadau.., naomba msaada kwa kujuzwa gharama za kutoa hii gari pale bandarini dar es salaam: Make:Toyota Model: Mark II Blit Manf: 2007/3 Cc: 2590 CIF: USD 1850 Chassis#: JZX 110-0022307
  10. deezekiels

    Kutoa gari bandarini Dar es salaam

    Habarini Jf, naomba mnijuze gharama za kutoa ghari hii bandarini Dar es salaam. Make: Toyota Model: Mark II Blit Year/month: 2007/3 Cc : 2490 CIF : 1850 USD.
  11. deezekiels

    Ni muda gani

    Ni saa ngapi 3rd round na fainali zitachezwa?
  12. deezekiels

    Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

    Nashukuru kwa ufafanuzi ndugu, mimi ninachelewa kupata usingizi, kwa hiyo ninalala masaa 6-7, umri wangu ni miaka 28, maji nina kunywa lita 1.5 kwa siku, choo ninapata vizuri, lakini wakati mwingine nahisi ganzi ubongo wa nyuma hivyo napoteza kumbukumbu na kukosa hisia au mguso wa matikio na...
  13. deezekiels

    Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

    Habarini, naomba msaada kwa hili tatizo; mi ninapata mumivu makali sana ya kichwa katika paji la uso pale ninapo tizama vitu vyenye mwanga hususani mkali, vitu hivyo ni luninga, computer, simu ya mkononi n.k , nikitizama vitu hivi kwa muda fulani mwanga wake unanitanya macho kuuma ikiambatana na...
  14. deezekiels

    Account mkombozi bank

    Naomba kujua taratibu za kufungua account ya kikundi mkombozi bank au bank yeyote yenye masharti nafuu
Back
Top Bottom