Asante sana kwa ushaur, maana kuna watu walikua wanamwambia kwa sababu haendi mwezin zile damu zinazotakiwa kutoka kila mwez zinaganda sehem badala ya kutoka nje, so siku akitoa kijiti lazima asafishwe, na alikua anaogopa kweli
Asanteni kwa kuleta uzi huu, naomba kuelimishwa kuhusu uzazi wa mpango, kuna mdogo wangu kaweka vijiti vile vya kwenye mkono vya miaka mitatu, ana mwaka mmoja na nusu haendi mwezin,anatakiwa atoe mwakani mwez wa 4 lakini kuanzia mwez uliopita amekua akisumbuliwa na UTI zisizoisha na amekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.