Habari zenu wanajukwaa hili pendwa,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nikiwa kama mtanzania mzalendo ambaye natumia huduma za posta mara kwa mara kutuma na kupokea mizigo midogo nje ya nchi sasa tatizo linakuja kwa hawa wafanyakazi wa shirika la posta tawi la Kahama ambapo kuna mama mmoja mtu...
Yaani umegusa penyewe kabisa mkuu!
Nilichogundua asilimia kubwa ya members humu ni watoto waliozaliwa miaka ya 90 hivyo ukiongelea msanii kama Sugu wao wanajua ndo ameanza kuimba miaka hii!
Mfano kuna mtu nilishakuta anabishana kuhusu msanii Jmoe huyu aliyeimba "nisaidie kushare" eti ni msanii...
Wewe umezaliwa mwaka 2003 utamjulia wapi Sugu?
Uliza sisi baba zako wadogo ndo tunawajua hawa wasanii wa miaka hiyo vizuri,
Elewa unapozungumzia Sugu unazungumzia moja ya watu waliofanya muziki wa kizazi kipya ukubarike kwenye jamii kama hivi leo.
Ukiweza tafuta nyimbo za Mr 2 zifuatazo:-...
Asilimia kubwa ya wanaomchukulia poa Mr Sugu ni hawa vijana waliozaliwa hivi karibuni ambao sa hivi ndo wanavaa modo na kupaka poda.!
Ila Kwa sisi wahenga ambao miaka ya 2000 - 2001 ndio tunaomjua Mr 2 "Sugu " ni nani.
Mie sinaga muda wa kusikiliza hizi nyimbo za kina
"Dawamondu "
Mie zangu...
Somo linajieleza hapo juu niko Geita Natafuta pikipiki ya kununua ya bei ndogo iliyotumika kidogo hata miezi kadhaa au mwaka 1
Aina ya Boxer au Tvs
Iwe na vielelezo vyote
Nahitaji Kwa shughuli binafsi na nimeona aina hizo ndio zitanifaa hivyo
Kwa yoyote anayeuza tafadhali tupia hapa picha za...
Ni miezi kadhaa aliibuka mzee mzima Dk.Shika a.k.a "Bilionea wa nyumba za lugumi"
Kama kawaida mzee aliibuka kama utani na zile ahadi za mabilioni alizoahidi mara ghafla mzee akawa maarufu zaidi hata ya baadhi ya wasanii Bongo movie wa siku nyingi.!
Hivi sasa tukiwa tumeanza kumsahau Dk Shika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.