Recent content by Dee24

  1. Dee24

    Ujenzi/upanuzi wa njia nane Kimara-Kibaha una walakini

    Hivu watu mnaotetea ya mwendokasi sioni utetezi wenu inakuwaje unatetea mradi ule wakati umefail kwnye miundombinu hadi operation. Kwenye miundombinu maji yakijaa pale jangwani basi hakuna safari so utajengaji mradi wa kipindi cha kiangazi tu na sio kiangazi na kipindi cha mvua???
  2. Dee24

    Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

    Sio kupotea bali kufilisika
  3. Dee24

    Mikoa Kumi(10) iliyotoa wasomi wengi zaidi nchini

    Na Acha porojo zako na wew tuambie mkoa wa mara una makabila wangapi?? Maana hapo unataja matatu tu wkti ni zaidi ya hapo na je kabila kama wanyambo umechkua vigezo gani kuwaona co wasomi kuliko wazahanaki??? So jipange mkuu acha kutetea makabila yenu lbda kagera ungebuttle na kilimanjaro au...
  4. Dee24

    Mfumo wa maisha ya Sasa japo nina shahada naona bado giza totoro

    Pa1 bro we mtoto wa kiume uckate tamaa
  5. Dee24

    Mfumo wa maisha ya Sasa japo nina shahada naona bado giza totoro

    UJUE SISI BINADAMU TUNA ROHO MBAYA SANA SA HAPA MTU KASEMA ALISHAFANYA BIASHARA SEMA KUTOKANA NA MATATIZO YA FAMILIA YKE AMEAMUA KUPIGA CHNI SO KNACHOTAKIWA NI KUMSHAURI AFANYE NIN ILI APATE MTAJI MWNGNE AU MBNU GANI AFANIKIWE?? MI NAHISI WATU TUNATUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUTOA STREC ZTU...
  6. Dee24

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Utajiri wa jasho unachukua muda kwao dat y they choose shortcut ways
  7. Dee24

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kwasababu wana tamaa ya utajiri
  8. Dee24

    INFINIX NOTE 5

    Ukipiga simu hta kwa iphones yyte ukituma whatsap quality ya iyo picha inapungua
  9. Dee24

    INFINIX NOTE 5

    Kama upo Dar nicheck inbox nkusaidie
Back
Top Bottom