INFINIX NOTE 5

INFINIX NOTE 5

VictorMi6

New Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
4
Reaction score
3
Wakuu natumia infinix note5 Asee ni simu nzuri tuu inapiga kazi fresh ila shida nnayokumbana nayo ni kwamba baada ya muda inahalibu picture zinakua thunmbair hazionekan kama ilivopiga naomba mwenye kuweza kudeal na hilo anisaidie plz
 
Hizi infinix nimeona zinauzwa hadi 1.2million bei ya Huawei p30
Vipi ubora wake
 
Sio kweli...Flagship ya Infinix ni Infinix Zero 6 na Bei yao elekezi ni Tshs 850,000/=
Infinix, tecno, itel ni kampuni moja. Ukiuziwa simu yoyote ya hiyo kampuni kwa zaidi ya laki 3 umeibiwa.

Simu za hiyo kamuni bei yake ni laki mbili hadi tatu, usije kuibiwa.

Juzi moja niko maeneo mazuri sana, niko na mshikaji wangu ana latest phone ya tecno, sijui canon sijui kitu gani, nikamuomba anipige picha kwa sababu simu yangu s9 ilizima charge, kisha anitumie kwa whatsapp, aisee nilipokuja kuzifungua kwenye sim yangu ni mbaya balaa. Nikajua hizi simu ni vimeo

Sina tatizo na mtu kutumia tecno, tatizo langu ni pale mtu anauziwa tecno bei mbaya wakati hazina hiyo thamani. Lakini pia anauziwa tecno kwa kulinganishiwa na brand kubwa kama Samsung high end devices. Unakuta mtu tecno kauziwa laki 6 au laki 7 alafu anajilinganisha na labda samsung s8 au s9.
 
Sure Infinix na Tecni ni kaka na dada...Kampuni mama ya Transsion Holdings ndo inazalisha wote hao na toleo lao la Itel ndio bovu kuliko wote...Anyway me sio mtumiaji wao nlikua namjibu tu mdau apo juu kuwa infinix hawana simu yenye price ya milioni na hata hyo flagship yao haina hadhi ya flagship sababu chipset wanayotumia ni ya simu za midrange...ni mara kumi nikanunie Samsung A50 kwa price hyo kuliko hyo infinix zero 6.
Infinix, tecno, itel ni kampuni moja. Ukiuziwa simu yoyote ya hiyo kampuni kwa zaidi ya laki 3 umeibiwa.

Simu za hiyo kamuni bei yake ni laki mbili hadi tatu, usije kuibiwa.

Juzi moja niko maeneo mazuri sana, niko na mshikaji wangu ana latest phone ya tecno, sijui canon sijui kitu gani, nikamuomba anipige picha kwa sababu simu yangu s9 ilizima charge, kisha anitumie kwa whatsapp, aisee nilipokuja kuzifungua kwenye sim yangu ni mbaya balaa. Nikajua hizi simu ni vimeo

Sina tatizo na mtu kutumia tecno, tatizo langu ni pale mtu anauziwa tecno bei mbaya wakati hazina hiyo thamani. Lakini pia anauziwa tecno kwa kulinganishiwa na brand kubwa kama Samsung high end devices. Unakuta mtu tecno kauziwa laki 6 au laki 7 alafu anajilinganisha na labda samsung s8 au s9.
 
Ukipiga simu hta kwa iphones yyte ukituma whatsap quality ya iyo picha inapungua
Infinix, tecno, itel ni kampuni moja. Ukiuziwa simu yoyote ya hiyo kampuni kwa zaidi ya laki 3 umeibiwa.

Simu za hiyo kamuni bei yake ni laki mbili hadi tatu, usije kuibiwa.

Juzi moja niko maeneo mazuri sana, niko na mshikaji wangu ana latest phone ya tecno, sijui canon sijui kitu gani, nikamuomba anipige picha kwa sababu simu yangu s9 ilizima charge, kisha anitumie kwa whatsapp, aisee nilipokuja kuzifungua kwenye sim yangu ni mbaya balaa. Nikajua hizi simu ni vimeo

Sina tatizo na mtu kutumia tecno, tatizo langu ni pale mtu anauziwa tecno bei mbaya wakati hazina hiyo thamani. Lakini pia anauziwa tecno kwa kulinganishiwa na brand kubwa kama Samsung high end devices. Unakuta mtu tecno kauziwa laki 6 au laki 7 alafu anajilinganisha na labda samsung s8 au s9.
 
Ukipiga simu hta kwa iphones yyte ukituma whatsap quality ya iyo picha inapungua
Uko sahihi whatsapp inapunguza quality ya picha japo hizo brands za Infinix,Tecno,itel na jirani zake si salama sana kwa matumizi ya viumbe hai.
 
Simu ya 850,000 hlf inatumia processor ya Snapdragon 636 ambayo unaipata kwenye simu za laki 4!

Ni wiziiiiiiiii!
Kabisa mkuu sidhani hata kama anamfikia redmi note 6 pro japo wanashare same chipset
 
Kabisa mkuu sidhani hata kama anamfikia redmi note 6 pro japo wanashare same chipset
Kwa Redmi note 6 nadhani anamfikia sababu hii infinix ina 6GB &128GB. Ila kwa Redmi note 7 au Lenovo Z5s ya laki 5 (nayo ina 128GB, Snapdragon 710) huyo infinix agusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom