Chuki kati ya serikalï na bbdhi ya wananchi (wapinzani) isiruhusiwe kumea, ni hatari sana baadaye itahama kiitikadi miongoni mwa wananchi wenyewe kwa wenyewe na hata vizazi vyetu, Tuamue kwa busara kuliko nguvu, haki huinua Taifa, tutafute amani kwanza, amani ni tunda la haki, tusipotenda haki...