Recent content by dean of student

  1. D

    Mwenendo kesi za madai Tanzania!

    Habari na pia poleni na majukumu! Hii mada niliitafuta kwa muda mrefu sana. Naombeni mnisaidie tatizo langu linalo nitia wazimu na kuishi kwa wasiwasi. Iko hivi uku nilipo kuna taasisi binafsi za kifedha ambazo sio benki na sijui kama zimesajiliwa ila zinatoa huduma za mikopo kwa watumishi kwa...
  2. D

    Kwa yeyote mwenye shida ya sheria za kazi

    Naombeni msaada wa kisheria mimi ni mtumishi nilienda kukopa pesa kwenye taasisi moja ya kifedha hizi ndogondogo ambazo wanakupa pesa alafu unawaachia kadi yako ya benki na tulijaza mkataba na kutia saini. Ila nimeshindwa kulipa deni lao kwa wakati ivyo wamenitishia kunishitaki sasa je nifanyaje...
  3. D

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mimi ni mtumishi wa serikali (mwalimu) mwaka jana mwezi wa tisa nilienda benk ya nmb tawi la ifakara kwa ajili ya kuchukua mkopo ila nikaambiwa kuwa kwa sasa hawawezi kutoa mkopo kwa watumishi wapya. Ivyo nilikuwa naomba kuuliza je mmesha anza kutoa tena kwa mwaka huu? Asante
  4. D

    NACTE kuanza kupokea maombi 23/01/2017 intake ya mwezi March/ April

    Nacte mbona mwaka huu wanawahi sana au matokeo yatatoka. mapema?
  5. D

    Msaada ndugu zangu: Asome kozi gani kwa matokeo haya?

    Aende afya ila asome kwanza cheti community Hearth ili afute iyo F ya phy ili akasome diploma ya nursing
  6. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wapendwa heri ya krismas! Mi ni mwalimu idara ya sec natafuta Mwal wa kubadilishana nae kituo cha kazi. Aje mkoa wa morogoro wilaya ya malinyi na na mimi niende sehemu yoyote ile katika mkoa wa iringa. No yangu ni 0719221365
  7. D

    Nimenyimwa ruhusa ya kwenda kujiendeleza kusoma masters, wameniambia nikasome open university

    Degree saiz kila mtu anayo ivyo ni vyema tuka jiendeleza mapema ili yasikukute majanga
  8. D

    Nimenyimwa ruhusa ya kwenda kujiendeleza kusoma masters, wameniambia nikasome open university

    Nataka nikasome ili niongeze ujuzi kidogo kwani wenye degree kwa sasa ni wengi mno
  9. D

    Nimenyimwa ruhusa ya kwenda kujiendeleza kusoma masters, wameniambia nikasome open university

    Kwa kuwa mimi ni mtumishi wa serikali mi nacho penda kujua ni kuwa je nikiwa na masters ya OUT nitatambulika na nitakuwa sawa na ambao wamesoma vyuo vingine?
  10. D

    Nimenyimwa ruhusa ya kwenda kujiendeleza kusoma masters, wameniambia nikasome open university

    Tatizo niko mbali na mji nipo kijijini sasa inakuwa ni vigumu kweli kufuatilia evening classes
  11. D

    Elimu ya foundation ya chuo kikuu huria inatosheleza kumpeleka mtu chuo kikuu?

    Nimewaelewa ila nina swali dogo kuwa Je OUT cheti chake kinakubalika na taasisi mbalimbali?
  12. D

    Nimenyimwa ruhusa ya kwenda kujiendeleza kusoma masters, wameniambia nikasome open university

    Naombeni msaada wenu. Mimi ni mwalimu mwaka huu nilitarajia kwenda kujiendeleza kusoma masters ya education ila mpaka leo hii sijapewa ruhusa wanadai eti nikasome open university. Sasa swali langu mimi ni kuwa je nikisoma masters katika chuo hiki nitakuwa sawa kiutendaji na waliosoma darasani...
  13. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jamani nimehangaika sana naomba kama kuna mwalimu idara ya sekondari aliyopo mkoa wa iringa v, iringa town, au mafinga naomba tubadilishane yeye aje morogoro wilaya mpya ya malinyi. Tuwasiliane kupitia namba ya 0719221365.
Back
Top Bottom