Recent content by dealdone

  1. D

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    EPUKA SANA KUPOKEA ZAWADI YA NGUO KWA MTU AMBAYE YUKO UCHI
  2. D

    Simulizi ya mzigo wa bosi uliharibu maisha yangu

    Huyu alikuwa amelenga kuipa promo mambo ya kulana kisamvu tu hana lolote,kwa maana hadithi imefikia kwenye kulana kisamvu ameisitisha,
  3. D

    Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

    Na mimi pia najiuliliza swali hilohilo?au kuna utaratibu mpya gerezani siku hizi ambao sisi hatuujuui
  4. D

    Godbless Lema: Kuna mtu mkubwa anataka kujenga hoteli Ngorongoro

    Kwani kujenga hoteli ni dhambi?si ndio ajira zenyewe hizo au tatizo liko wapi?
  5. D

    Wimbo wa Stella wake Freshly Wamburi ni wa kibaguzi, haufai.

    Hebu tutajie umri wako kwanza ndio tujue jinsi gani tunakusaidia,isije kuwa ni under 20
  6. D

    CCM yazindua CCM Digital cards-CDC

    Kwa hiyo tunazipataje?
  7. D

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Na chelsea
  8. D

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Napoli
  9. D

    Riwaya: I died to save my President

    Maskini frank,na huko anakoenda taarifa atakazopewa zitamlewesha zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Riwaya: I died to save my President

    Thanks Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    Riwaya: I died to save my President

    Ngoma inogile,frank ameshakusanya team ya vijana wake na wanaenda kuchukua silaha kwanza,nahisi hizo silaha wanaenda kuzichukulia palepale walipo kina Elvis na team yake yatazuka mapambano,hisia zangu zinazidi kunituma kwamba huo ni usiku mbaya sana kwa frank coz ameshanusa harufu ya mzimu Elvis...
  12. D

    Riwaya: I died to save my President

    Ngoma inogile,frank ameshakusanya team ya vijana wake na wanaenda kuchukua silaha kwanza,nahisi hizo silaha wanaenda kuzichukulia palepale walipo kina Elvis na team yake yatazuka mapambano,hisia zangu zinazidi kunituma kwamba huo ni usiku mbaya sana kwa frank coz ameshanusa harufu ya mzimu Elvis...
  13. D

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    time will tell
  14. D

    Miaka 5 iliopita majimbo ya upinzani na ya CCM

    usimwamini mwanasiasa
  15. D

    Magufuli ukiyaweza haya nitaanza kujenga imani na wewe

    Kwa akili zako unadhani angekuwa ameshinda shein wangechelewa kumtangaza?Ndio angekuwa Wa kwanza kabla ya JPM
Back
Top Bottom