Recent content by De78

  1. D

    Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ni kichefuchefu!

    Mi nina amini mpaka kufanya uamuzi huu haku kurupuka,,, inawezekana alikaa na washauri wake na kuangalia vitu kwa mapana zaidi mpaka kufikia uamuzi huo. Ila pia hajafungwa au kuzuiwa kufanya mabadiliko. Na ikumbukwe pia ugumu katika kutekeleza unaweza kupelekea kumshauri kufanya maboresho na...
  2. D

    Upotevu wa Makontena 349 ICD: Nane akiwemo Masamaki wafikishwa Mahakamani, Wakosa dhamana

    Hawa ni watuhumiwa wa upotevu wa makontena (nafikiri wote ni watumishi wa serikali). Huko mahakamani ndio watakapo eleza hizo kontena zilipo, au hata kuwataja wamiliki wa kontena hizo (kama hawajulikani), ingawa PM alikua na ile orodha. Tuiache Mahakama ifanye kazi yake...
  3. D

    Serena Hoteli matatani, TRA wavamia (ufafanuzi)

    Nafikiri ni ya Aga Khan Foundation, niko tayari kukosolewa.
  4. D

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Tena huko kwenye Mafuta, Mwalimu mkuu kwenye hotuba yake ya jana alisema ndio maeneo yake ya kujidai
  5. D

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Tunashukuru brother Pasco kwa mtazamo wako. Ila kwangu mimi naona alicho kifanya waziri mkuu ni sahihi kabisa. Kwanza, ametufanya kujua angalau kwa kiasi fulani uwezo wa viongozi wetu kwenye hayo mashirika ya serikali. Kiongozi unaulizwa kuhusu taarifa muhimu zinazo husu shirika lako, una...
  6. D

    Rais Magufuli: Fedha za hafla ya Bunge zinunue vitanda Muhimbili

    Ni ngumu sana kumfanya rais afikirie kama unavyo fikiri, au aamue kama unavyo amua. Mimi nime muunga mkono kwa kufikiria zaidi juu ya hizo fedha zilizochangwa kwa ajili ya sherehe. Uzuri huko Muhimbili hata kama vitanda vipo vya kutosha, basi wahusika watajua namna ya kuvipeleka kwenye...
  7. D

    VIDEO: Rais Kikwete azindua Uwanja wa Ndege za kivita Morogoro; Mkuu wa Majeshi ahudhuria

    Atakula bure, atalala bure na kila kitu atapata bure. Na kura yake atapigia hukohuko kuchagua Mnyampala.
  8. D

    Emmanuel Mbasha aachiliwa huru kesi ya ubakaji

    Tena unaweza kukuta aliyeshitaki kwamba amebakwa na aliye tuhumiwa kubaka sasa hivi wanaendelea kunanihii...!
  9. D

    Emmanuel Mbasha aachiliwa huru kesi ya ubakaji

    Walio shtaki si wapo? sasa kama wenyewe wameridhia hukumu, na kuamua kukaa kimya kuna tatizo gani?
  10. D

    Emmanuel Mbasha aachiliwa huru kesi ya ubakaji

    Waliobakwa sijui wanajisikiaje?! .... na kama pia hawakubakwa sijui wanajisikiaje?
  11. D

    Mama Janeth Magufuli agoma kukampeni, acharuka

    Kila mtu anatetea kibarua chake. Labda bosi wake (Mwalimu Mkuu), aligoma kutoa ruhusa ya kwenda kufanya kampeni.
  12. D

    Jumba refu zaidi Afrika Mashariki lafunguliwa Tanzania

    Na bora tuliwahi kujenga lile la BOT, sasa kama tungelijenga mwaka huu si ndio ingekua balaa
  13. D

    Jumba refu zaidi Afrika Mashariki lafunguliwa Tanzania

    Kazi nzuri...! Ukiachilia mbali kua ni kitega uchumi kwa mfuko husika, Litasaidia kwenye sekta ya utalii pia (hasa wa ndani), na litakua model ya kujifunzia.
  14. D

    Jumba refu zaidi Afrika Mashariki lafunguliwa Tanzania

    Halijakamilika....soma vizuri hoja ya mleta uzi na post zilizopita
Back
Top Bottom