Recent content by De Finger

  1. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: kwa wanaofahamu batery bora za gari N50

    Nahitaji kununua batery mpya ya gari N50 naomba ushauri ipi ni batery bora. Matumizi yangu ya gari ni mara chache huwa naiacha bila kuiwasha hata siku 3
  2. D

    JamiiForums Tanzania Bila swaga yoyote hakuna mwanamke huku duniani utampata

    Hao unaowapenda wewe kigwa anawahitaji central
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kipi kilitokea mpaka Pepsi ikaizidi kete Coca Cola!!

    Daah! Kuna watu wengi huwa wanasema soda hazifai kwa sababu zina reaction na vitu vya asili ya chuma kama misumali nk. Lakini wanasahau hata maji masafi pia yana reaction, ukiumwagia maji msumali pia unapata kutu. Je utumbo wetu pia unapata kutu kwa kunywa maji. Nakubaliana na athali zingine...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Uchawi wa Talasimu na jinsi unavyofanya kazi

    Kamwe mtu hawezi kufanikiwa kwa kufata ushirikina na hata akipata mafanikio huwa hayadumu njia sahihi ni kufata mafundisho ya Mungu pekee.
  5. D

    JamiiForums Tanzania DK. JAKAYA Kikwete akutana na mabilionea, Aliko Dangote na Bill Gates

    Yes..hilo mimi pia nimeliona hapa tuna marais wawili
Back
Top Bottom