Recent content by ddk

  1. ddk

    Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

    Watu wa MBEYA hawana unafiki, wanafanya wanacho kiamini hadharani tofauti na sehemu zingine ambazo watu bado wana jificha kwa kutumia nguo za blue na kijani lakini ndani wengine ni Wanamadadiliko @ UKAWA
  2. ddk

    Chopa iliyomuua Filikunjombe, ilikuwa mbovu, isiyofaa kwa matumizi wala matengenezo

    Ukitaka kuona Serikali ya ccm imechoka, tumia huduma zao,. Mf Elimu mbovu, Barabara mbovu, Huduma hospitalini mbovu Ndege ya serikali yakukodi nayo mbovu,nk , By Mkosamali at Bungeni 2015 ,,,, Sasa Chopa naye imeletwa mbovu ikaua Filikunjombe wetu.. hii mbaya sana
  3. ddk

    Chopa iliyomuua Filikunjombe, ilikuwa mbovu, isiyofaa kwa matumizi wala matengenezo

    UKITAKA KUONA UCHOVU WA SERIKALI YA CCM,! tumia huduma za serikali yao,, Hospitali ovyo, Elimu ovyo, barabara ovyo , Ndege ya Serikali ovyo,,,,....BY Mkosamali Bungeni),.. Na sasa Chopa Mbuvu imemuua Filikunjmbe wetu.
  4. ddk

    Madereva wa Malori wamefunga Barabara ya Morogoro, baada ya mwenzao kupigwa risasi na mwajiri wake

    Msiwe na wasiwasi Kuna Mtu kasema Reli ya Lami inakuja.
  5. ddk

    Ni kosa kubwa kwa Ukawa kushabikia mashaka ya Kagame juu ya demokrasia ya Tanzania

    Hakuna mgombea anaitwa Magufuri ni Magufuli, Pumbafu wewe,
  6. ddk

    Yameanza Kunyonyoka Sasa

    Hujamalizia hiyo hadithi,, Kobe alianguka Akapasuka Pwaaaa akafa.!!
  7. ddk

    Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

    Hata ungekuwa wewe huwezi kuwa wa......Halafu wengine wanahongwa Hotel.
  8. ddk

    Mke kawa mtaalam kitandani ghafla, ina maana gani?

    Una hakili sana ndugu
  9. ddk

    Magufuli, wabunge kanda ya ziwa, na suala la mila potofu na mauaji ya albino

    Anatoka yaliko Mauaji ya Albino yanayohusishwa na Mambo ya Siasa.
  10. ddk

    Mwakyembe sijamsikia kwenye kampeni kama nilivyomtarajia

    Subutu yake, Maji yako kidevuni jimboni mwake
  11. ddk

    Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

    Kanye ulale .
  12. ddk

    Nyimbo za Lowassa mpaka sherehe

    Huo wimbo wa Msaga Sumu ni Sindano ya Wana Kijani imewaingia mpaka ndani.
  13. ddk

    Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    Kitaeleweka tuu,, Sidhani kama kutakuwa na sherehe kama hizo tena ,, Maana Chadema wamesema wanaupeleka mwenge Makumbusho.
  14. ddk

    Serikali itueleze sasa alipo Mkuu wa Majeshi, tuna haki kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya nchi

    Taarifa ya kujua Kiongozi wetu yuko wapi hahusiani na Mahakama,.,Over
Back
Top Bottom