mimi ni mwajiliwa kama mwanasheria II KATIKA MOJA YA Halmashauri. ombi langu kwa wana jf, kwa yeyote anye fahamu ni wilaya ipi, au halmashauri ipi ambayo ipo Mkoa wa DSM, PWANI, ARUSHA, SHINYANGA, MWANZA AU KAGERA TAFADHARI ANISAIDIE KUNIANGALIZIA WAPI KUNA UPUNGUFU WA WANASHERIA AU KAMA AKUNA...