Recent content by db63

  1. D

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Ni kweli ila majibu yote nitachukua na kupata mwanga wa jambo langu, asante pia na wewe
  2. D

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Asante sana kwa maoni ,bila shaka nami nafikiri huwa iko hivyo.
  3. D

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Mimi nataka kuuza kwa jumla , sihitaji kuwa na Bar wala liquor store,nataka kuwekeza tu kama agent wa kuimport kisha nawauzia wengine
  4. D

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Wakuu habari , Nahitaji ushauri ninataka kuanzisha biashara ya pombe kali na pombe laini lakini za kuimport kama brutal, mliotembea ni pombe ipi nikiileta Tanzania naweza kupata faida na kukuza biashara ? Je naweza kupata nafasi ya kuingiza brutal ilihali kuna mtu mwingine anaingiza? Au...
  5. D

    Je, ni sawa kwa Rais Samia kuiunga mkono Somalia kiusalama?

    Hatupaswi kuogopa hii ni Nchi ya kiume.
  6. D

    Krate za bia TBL na SBL zinahitajika Dodoma

    Wakuu ninahitaji krate za bia complete mchanganyiko SBL na TBL -100, niko Dodoma. Bei @ krate ni 8000/=
  7. D

    Natafuta chupa tupu na crate za pepsi

    Crate complete za bia 100 zinahitajika Dodoma
  8. D

    Natafuta chupa tupu na crate za pepsi

    Natafuta chupa tupu na crate 100,Niko Dodoma
  9. D

    Wauza nafaka tukutane hapa

    Wakuu nina karanga nyekundu toka kaliua bei 3000kg. njoo whatsap tuongee
  10. D

    Natafuta Dalali wa Masoko ya mazao

    nina karanga nyekundu na nyeupe tan tano ,nicheck tuyajenge chap 0769072293, tuma ujumbe whatsap tu.
  11. D

    Kwa mwenye kuhitaji karanga nyekundu na nyeupe anakaribishwa

    bado unauza karanga nyekundu?
  12. D

    Biashara ya mazao

    mimi ninahitaji karanga nyekundu ila nene zile ,njoo inbox au 0769072293 (Whatsap tu) tuongee hata sasa hivi ,nakupa na sample.
  13. D

    Kwanini Rwanda ndio kioo cha Watawala Afrika Mashariki na Kati?

    Mleta Mada kasimama upande wa kukosoa sana, kagame kabla ya kwenda kusoma ujasusi mbele alianza kusoma mafunzo ya kijeshi Tanzania.hilo watu hawasemi hata kidogo
  14. D

    SoC01 Ajira za Uhakika zinazoweza kukulipa Mtandaoni

    Ni mfasiri wa Lugha ya Kifaransa, Kiswahili na kingereza, nimejifunza pia copyright skills
  15. D

    SoC01 Ajira za Uhakika zinazoweza kukulipa Mtandaoni

    Natumia Upwork ila nahangaika sipati kazi
Back
Top Bottom