Recent content by db63

  1. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Ninadhani nikianza na brand kama tatu naweza kuafford
  2. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Ni kweli ila majibu yote nitachukua na kupata mwanga wa jambo langu, asante pia na wewe
  3. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Asante sana kwa maoni ,bila shaka nami nafikiri huwa iko hivyo.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Mimi nataka kuuza kwa jumla , sihitaji kuwa na Bar wala liquor store,nataka kuwekeza tu kama agent wa kuimport kisha nawauzia wengine
  5. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Wakuu habari , Nahitaji ushauri ninataka kuanzisha biashara ya pombe kali na pombe laini lakini za kuimport kama brutal, mliotembea ni pombe ipi nikiileta Tanzania naweza kupata faida na kukuza biashara ? Je naweza kupata nafasi ya kuingiza brutal ilihali kuna mtu mwingine anaingiza? Au...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwa Rais Samia kuiunga mkono Somalia kiusalama?

    Hatupaswi kuogopa hii ni Nchi ya kiume.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Krate za bia TBL na SBL zinahitajika Dodoma

    Wakuu ninahitaji krate za bia complete mchanganyiko SBL na TBL -100, niko Dodoma. Bei @ krate ni 8000/=
  8. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta chupa tupu na crate za pepsi

    Crate complete za bia 100 zinahitajika Dodoma
  9. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta chupa tupu na crate za pepsi

    Natafuta chupa tupu na crate 100,Niko Dodoma
  10. D

    JamiiForums Tanzania Wauza nafaka tukutane hapa

    Wakuu nina karanga nyekundu toka kaliua bei 3000kg. njoo whatsap tuongee
  11. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta Dalali wa Masoko ya mazao

    nina karanga nyekundu na nyeupe tan tano ,nicheck tuyajenge chap 0769072293, tuma ujumbe whatsap tu.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye kuhitaji karanga nyekundu na nyeupe anakaribishwa

    bado unauza karanga nyekundu?
  13. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mazao

    mimi ninahitaji karanga nyekundu ila nene zile ,njoo inbox au 0769072293 (Whatsap tu) tuongee hata sasa hivi ,nakupa na sample.
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rwanda ndio kioo cha Watawala Afrika Mashariki na Kati?

    Mleta Mada kasimama upande wa kukosoa sana, kagame kabla ya kwenda kusoma ujasusi mbele alianza kusoma mafunzo ya kijeshi Tanzania.hilo watu hawasemi hata kidogo
  15. D

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ajira za Uhakika zinazoweza kukulipa Mtandaoni

    Ni mfasiri wa Lugha ya Kifaransa, Kiswahili na kingereza, nimejifunza pia copyright skills
Back
Top Bottom