Wakuu habari ,
Nahitaji ushauri ninataka kuanzisha biashara ya pombe kali na pombe laini lakini za kuimport kama brutal, mliotembea ni pombe ipi nikiileta Tanzania naweza kupata faida na kukuza biashara ?
Je naweza kupata nafasi ya kuingiza brutal ilihali kuna mtu mwingine anaingiza? Au...
Mleta Mada kasimama upande wa kukosoa sana, kagame kabla ya kwenda kusoma ujasusi mbele alianza kusoma mafunzo ya kijeshi Tanzania.hilo watu hawasemi hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.