Recent content by db63

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kuelekea D9 tujikumbushe: Kuna utofauti kati ya kuichapa na kuikula

    Anataka kutuokota mchana kweupe
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kuelekea D9 tujikumbushe: Kuna utofauti kati ya kuichapa na kuikula

    Anataka kutuokota mchana kweupe
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kuelekea D9 tujikumbushe: Kuna utofauti kati ya kuichapa na kuikula

    Acha kudanganya watu wewe, story za kufikirika unaleta hapa ?
  4. D

    JamiiForums Tanzania Kuelekea D9 tujikumbushe: Kuna utofauti kati ya kuichapa na kuikula

    Sema chumvi nyingi sana na ka uongo uongo
  5. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Ninadhani nikianza na brand kama tatu naweza kuafford
  6. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Ni kweli ila majibu yote nitachukua na kupata mwanga wa jambo langu, asante pia na wewe
  7. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Asante sana kwa maoni ,bila shaka nami nafikiri huwa iko hivyo.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Mimi nataka kuuza kwa jumla , sihitaji kuwa na Bar wala liquor store,nataka kuwekeza tu kama agent wa kuimport kisha nawauzia wengine
  9. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Wakuu habari , Nahitaji ushauri ninataka kuanzisha biashara ya pombe kali na pombe laini lakini za kuimport kama brutal, mliotembea ni pombe ipi nikiileta Tanzania naweza kupata faida na kukuza biashara ? Je naweza kupata nafasi ya kuingiza brutal ilihali kuna mtu mwingine anaingiza? Au...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwa Rais Samia kuiunga mkono Somalia kiusalama?

    Hatupaswi kuogopa hii ni Nchi ya kiume.
  11. D

    JamiiForums Tanzania Krate za bia TBL na SBL zinahitajika Dodoma

    Wakuu ninahitaji krate za bia complete mchanganyiko SBL na TBL -100, niko Dodoma. Bei @ krate ni 8000/=
  12. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta chupa tupu na crate za pepsi

    Crate complete za bia 100 zinahitajika Dodoma
  13. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta chupa tupu na crate za pepsi

    Natafuta chupa tupu na crate 100,Niko Dodoma
  14. D

    JamiiForums Tanzania Wauza nafaka tukutane hapa

    Wakuu nina karanga nyekundu toka kaliua bei 3000kg. njoo whatsap tuongee
  15. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta Dalali wa Masoko ya mazao

    nina karanga nyekundu na nyeupe tan tano ,nicheck tuyajenge chap 0769072293, tuma ujumbe whatsap tu.
Back
Top Bottom