kuna watu wakianzisha biashara wanashindwa kuisimamia kiasi kwamba kila biashara inapohitaji huduma ya kifedha basi pesa hiyo hutoka mfukoni mwake.... na pia tahadhari kwa wanaodhani inabidi wakope mkopo ndyo wafanye biashara kwanza kaa fikiria kuwa ukikopa utafanya nini, itakuingizia kiasi gani...
Unahisi kumsaidia omba omba ndyo kutatua tatizo lake?? au unahisi nini kifanyike kumsaidia...
Sometimes omba omba wana akili kubwa kuliko msaidiaji (mtoaji) nlishawahi kumkuta omba omba anadeposit an amount of money... so inamaanisha ile ndyo ajira yake... unamuonaje huyu omba omba? clever???
Kweli kabisa inabidi uwe na fikra 'idea' kuhusu nini wahitaji fanya, na lazma uwe unauelewa mzuri na unachotaka kufanya kama huna chunguza... nimeshawahi kujaribu kufanya biashara bila mtaji na nkaona inawezekana. nlichokuwa nacho ni idea tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.