Recent content by Day 1 gongs

  1. Day 1 gongs

    KERO Polisi Mtwara acheni tamaa mnatukwamisha, sisi pia tupo kazini na tuna familia

    Ni Mwendo wa malalamiko na waliopewa dhamana ya kuleta ustawi wa jamii nao wamo humo, CCM hii si nzuri.
  2. Day 1 gongs

    Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

    Apunguze kujikomba Kwa viongozi wa kuu wa chama Aina hii ya viongozi ndiyo wanafanya wapinzani wanakipiga mawe chama . Ni kweli Uvccm na jumuiya zingine ziko na wajibu wa kukitetea chama katika hali zozote na viongozi wake lakini si Kwa kukuza Mambo huku wafanyavyo wazee wa fursa, uchochoro...
  3. Day 1 gongs

    Ni mji gani ambao pengine ndoto yake ni kufika.?

    Sumbawanga nikajionee ubobezi wa sayansi ya kale
  4. Day 1 gongs

    Kuna Mtu naona analazimisha Mwenyewe kwenda mazima Mavumbini ( Udongoni ) kwa Ushamba, Ujinga na kwa Kukurupuka Kwake

    Ni balehe ya uongozi inamsumbua lakini wahuni siyo watu bila shaka watapita naye kweupe. Watu wajipange na 2030 wewe ulete ulimi wako nje watapita naye bila shaka tena silence mode.
  5. Day 1 gongs

    Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

    Sizani kama ametumwa ni vile anaishi ndani ya hulka yake ya kujiona bora zaidi na mwenye haki miliki ya nafasi zote mbele ya kusanyiko la watu, alichifanya si siasa ni kumdhalilisha Mh Raisi haswa Kwa uwepo wake hapo kama RC. Kufuatilia hili Jambo ni dhahiri kuna ombwe kubwa la wananchi hata...
  6. Day 1 gongs

    Mama Samia, vumilia, Urais siyo lelemama

    Mama ni mtu wa pwani hivyo haiba ya kukasilika Kwa maneno itakuwa hana hilo ,ni vile awe makini na wachonganishi walio ndani ya chama/serikali yake kama Yule RC wa Arusha . Hii ni nyakati ya kila mtu kuwa huru kujieleza pasina kutweza utu wa mwingine au jamii Kwa ujumla hivyo inapaswa...
  7. Day 1 gongs

    Amos Makalla: Wananikumbusha majukumu yangu, waambieni ‘nayaelewa’

    Majigambo ya siasa hayo, tutazidi mkumbusha afuate katiba ya chama.
  8. Day 1 gongs

    Kazi ya uenezi hakuna mtu anayeiweza kwa CCM ya sasa

    Sasa kama Mwenezi naye anataka camera kila Siku hapo kupata mtu Sahihi Kwa kazi ya kuvuta wanachama na kukisemea mema chama ni ndoto . Unaona Km Nchimbi alivyokaa nyuma ya game kisha mchezo unasomwa Tu.
  9. Day 1 gongs

    Ipo haja ya mainjinia wa TANESCO kufanyiwa mohojiano ya kiuchunguzi umeme unapokatika nchi nzima

    Aachwe fukuzwa anayesimamia wizara inabaki kuzunguka kichaka , hakuna uwajibikaji Tanesco ni vile bora liende Tanesco iko na idadi kubwa ya Engineers 500+ lakini hawana nguvu ya kuonesha uwezo wao zaidi ya kufuata matakwa ya akili ndogo zilizo juu ambayo ni ndiyo Mzee Kwa kila Jambo. Biteko...
  10. Day 1 gongs

    Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

    Dubai na Washington DC za Tandale! Lucas Jenga hoja vizuri usifanye wanaCcm wenzio watumie nguvu nyingi kujielezea.
  11. Day 1 gongs

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Hataki kukua kiuongozi kwani umaarufu upo Kwa mtawala pekee tofauti na hapo ni kujichimbia kaburi.
  12. Day 1 gongs

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Kuna wakati kiongozi yapaswa vitendo vyako viongee sana kama mbinu anazotumia Nchimbi, chama kilijaa wapiga pambio bila mipango ya kuzikabili chaguzi. Share hiyo ndoto kiongozi Kwa faida ya wote.
Back
Top Bottom