Barabara pia inaweza kutumika kwa michezo na kadhalika kikubwa ni kutoa taarifa kwa waliopewa dhamana ambao ni serikali.
Elewa kila jambo likifuata utaratibu uliowekwa linakuwa si baya.
Ukiona unaweza tambua madhaifu ya mtu na kuyavumilia basi wewe ni Mwelevu zaidi, mapokeo ya dini wengine wanayabeba kwa nguvu kubwa sana kumbe Uislam siyo mgumu kabisa na pindi ukitaka kuleta ugumu ndani yake unakushindwa na matokeo yake ni kuwa kero kwa wengine.
Tatizo lingine kuna jamii...
Nazani huwa wanatoa taarifa kwa serikali na kupata kibali kutokana na umuhimu wa shughuli husika , mfano misikiti ya kariakoo baadhi.
Hata mitaani jamii zote huwa zinafunga barabara kwa matukio tofauti tena wakati mwingine bila ya kutoa taarifa serikali za mitaa, nazani ufinyu wa maeneo ndiyo...
Hayo ni mawazo ya tofauti kwani yeye Mwenyezi Mungu ni msikivu na mwenye kuona kila jambo hata uwe katika ngome nzito kiasi gani.
Mweneyezi Mungu yupo karibu na waja wake kuliko chochote wanachozania, hivyo aliyetuumba anatujua zaidi kabla hatujakuwa chochote miaka mingi.
Hao wanazua taharuki kwa wengine kwani uislam hautaki katika kuliendea jambo la ibada uwakele wengine au mambo ya wengine yasimame.
Walipaswa kujiweka pembeni na bado swala yao ingekuwa imetimia tofauti na kuhalibu taswira ya dini kwa maamuzi yao binafsi.
Kwa wingi wao huo na karibu wote ni...
Kama anaenda Abuja mwambie abebe kadi ya bank yenye Visa au Master card kwani lile jiji miamala karibu yote inafanywa kupitia mtandao, pesa zao ni mzigo mkubwa kuubeba kulinganisha na zetu au Dollar.
KAma hana mwenyeji akifika airport aombe ungiwa WiFi kwa mtu kisha atumie App za Bolt kupata...
Ni haki yake kujiuzulu kama vile alivyokubali huo uteuzi. Hivyo vyombo vya kimataifa kama kipi kiweze ingilia maamuzi ya mtu mmoja kwa mtazamo wake.
Fungua fuvu hilo huo ni mtazamo wa mtu na si nchi labda na wewe piki piki posta wa Polepole.
Elewa Balozi H. Polepole bado ni mwanachama hai wa...
Uelewa wako umefikia kikomo si kwa kushupaza ndonga huko, shida unahitaji fananisha zama za kiutawala.
Hakuna tawala ambayo haina mabaya yake lakini wewe na vichaa wenzio waliotemwa/wanaotumiwa na mfumo/vibaraka mnajiona mko na hisa hadi kuwazia nani akae kwenye uongozi wa juu nje ya takwa la...
Nani msafi katika siasa za Africa zaidi ya kutofautiana viwango vya kutokuwa muadilifu tu.
Ukiingia kwenye siasa usitegemee mbeleko za wananchi baada ya kuyakanyaga, ni mwendo wa mashambulizi hadi ufike ukingoni.
Mimi na wewe ndiyo boss wa boss wa Tanzania.
Uwezi shindana na utawala kamwe hata uwe na nguvu kiasi gani, hao walikuwa ndani baada ya kuona maslahi yao yanaminywa wanajitoa kwa maneno mengi.
Watafifia kama kibatari ufukweni.
Nimeangalia upande wa Polepole kwakuwa yeye ndiye aliye jitoa katika uongozi , huko beyond horizon unapopaona na vipofu wenzio ni gizani tu hamna jipya.
Huo mkakati labda wa ghetto kwako na vichaa wenzio lakini hakuna wa kubadilisha mchezo, utamaduni wa CCM mgombea ni mmoja akiwa madarakani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.