Kabisa, ingawa wapo na kiu ya kuifikia lakini hakuna njia mbadala.
Mngoni na Mr Guys Guys hawana mizizi ya kutisha ndani ya CCM, hivi vyama vimekuwa kama vikoba vya urithi na machawa pro maxx wale wadondokea humo ndiyo buyu la asali linafika miguuni.(si CCM, CDM , ACT n.k)
Ukiwasikiliza wana...
Hapa ndipo tunasema wapinzani wa nchi hawana Agenda ya kudumu kuleta mabadiliko ya hii nchi si kwa mawazo ya kutengenezewa kama hayo, Hakuna ugomvi wala hizo drama kati ya hao uliowataja zaidi ya kuwapumbaza tu.
Mngoni anajua aliye muweka hapo na hiyo bila shaka ni kete ya Mzee wa Msoga ili...
Hizi akili za kizee zilipaswa kukaa pembeni zinadumaza fikra za chama, sasa chama kinataka katiba mpya ingawa kwa mgongo wa chupa lakini hawa nao wanazidi kujilamba kwa wakubwa.
Katiba ndiyo muongozo wa nchi hivyo ikiletwa yenye mustakabali wa Tanzania iliyo bora uenda ikabadilisha kasi ya...
Nazani hakuna chama kinakimbia labda chama tawala kijifikirie namna ya kuacha uhuru katika hatua zote za kabla ya uchaguzi.
Siasa zetu ziko na ukakasi sana ingawa upande wa pili hawana agenda za kudumu katika hatma ya nchi yetu hivyo kuonekana kama madalali wa mabeberu tu.
Walitokea wagombea...
Polls zinashindwa timiza akidi hivyo kadri utakavyoziweka zitalenga kuiangusha CCm pia tambua wengi wa chama tawala ni wapenzi watazamaji humu haswa kwa mada zenye mlengo wa kukitweza nguvu chama Chao.
Hahaha, humu multiple Id's nyingi za non-CCM bila shaka kwani ndipo mahali wanapo kuwa huru...
CCM iko na ushawishi mkubwa tu humu JF Acha kuzua taharuki.
Je? polls ulizofanya/Walizofanya zimezingatia akidi ya wanaJF hadi zioneshe CCM haina mvuto, wazee wa akaunti zaidi ya moja wakiona mada za CCM hawaishi kucheza na Thread hadi waone mwisho wa anguko lake.
CCM ipo hai sana ndani ya JF.
Tumekusikia mpambe wa H. Mwinyi kwakuwa na yeye Mtanzania anafaa kutuongoza ingawa hii siyo nchi ya Kifalme.
Kwa sasa Mwinyi hayupo karibu na Team za ushindi za bara hiyo kutokana na kiti alichokalia ingawa anayo fursa ya kujipambanua ikiwa atahitajia nguvu kubwa sana pamoja na ushawishi hii...
Shukrani kwa funzo zuri, Kuna wengine mipango inapaa kila dakika kumbe watu washaiweka kwenye rada zao ile kabla ujatoa mrejesho washauliza status.
Ifike mahali hadi nafsi yako uinyime taarifa tu maana nayo inaweza kuwa adui wa ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.