Recent content by Day 1 gongs

  1. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Mke kupenda fedha kama Delila hubomoa ndoa yake

    Sinza na wewe NO NO NO.
  2. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Natabiri Tulia Ackson atakuwa Waziri Mkuu baada ya Kassim Majaliwa

    Mapema sana , ngoja wakaoge vumbi kwanza. Ikitokea yaweza kuwa ukanda wa magharibi au pwani, yaani S. JAFO au H. Bashe.
  3. Day 1 gongs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeamini upweke unatesa na unaweza hata kuua

    Adiya5 Huo msuko unaitwaje atii mrembo? nahitajia Wifi yako akupe kampani.
  4. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Raia wa Marekani wapinga vikali watu wa dini kufunga barabara kuswali

    Barabara pia inaweza kutumika kwa michezo na kadhalika kikubwa ni kutoa taarifa kwa waliopewa dhamana ambao ni serikali. Elewa kila jambo likifuata utaratibu uliowekwa linakuwa si baya.
  5. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Raia wa Marekani wapinga vikali watu wa dini kufunga barabara kuswali

    Ukiona unaweza tambua madhaifu ya mtu na kuyavumilia basi wewe ni Mwelevu zaidi, mapokeo ya dini wengine wanayabeba kwa nguvu kubwa sana kumbe Uislam siyo mgumu kabisa na pindi ukitaka kuleta ugumu ndani yake unakushindwa na matokeo yake ni kuwa kero kwa wengine. Tatizo lingine kuna jamii...
  6. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Raia wa Marekani wapinga vikali watu wa dini kufunga barabara kuswali

    Nazani huwa wanatoa taarifa kwa serikali na kupata kibali kutokana na umuhimu wa shughuli husika , mfano misikiti ya kariakoo baadhi. Hata mitaani jamii zote huwa zinafunga barabara kwa matukio tofauti tena wakati mwingine bila ya kutoa taarifa serikali za mitaa, nazani ufinyu wa maeneo ndiyo...
  7. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Raia wa Marekani wapinga vikali watu wa dini kufunga barabara kuswali

    Hayo ni mawazo ya tofauti kwani yeye Mwenyezi Mungu ni msikivu na mwenye kuona kila jambo hata uwe katika ngome nzito kiasi gani. Mweneyezi Mungu yupo karibu na waja wake kuliko chochote wanachozania, hivyo aliyetuumba anatujua zaidi kabla hatujakuwa chochote miaka mingi.
  8. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Raia wa Marekani wapinga vikali watu wa dini kufunga barabara kuswali

    Hao wanazua taharuki kwa wengine kwani uislam hautaki katika kuliendea jambo la ibada uwakele wengine au mambo ya wengine yasimame. Walipaswa kujiweka pembeni na bado swala yao ingekuwa imetimia tofauti na kuhalibu taswira ya dini kwa maamuzi yao binafsi. Kwa wingi wao huo na karibu wote ni...
  9. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Hivi maisha ya Nigeria yakoje?

    Kama anaenda Abuja mwambie abebe kadi ya bank yenye Visa au Master card kwani lile jiji miamala karibu yote inafanywa kupitia mtandao, pesa zao ni mzigo mkubwa kuubeba kulinganisha na zetu au Dollar. KAma hana mwenyeji akifika airport aombe ungiwa WiFi kwa mtu kisha atumie App za Bolt kupata...
  10. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari Kimataifa: Balozi wa Tanzania nchini Cuba kajiuzulu kuonyesha Kupingana na Uminywaji wa Haki na Demokrasia Nchini humo!

    Ni haki yake kujiuzulu kama vile alivyokubali huo uteuzi. Hivyo vyombo vya kimataifa kama kipi kiweze ingilia maamuzi ya mtu mmoja kwa mtazamo wake. Fungua fuvu hilo huo ni mtazamo wa mtu na si nchi labda na wewe piki piki posta wa Polepole. Elewa Balozi H. Polepole bado ni mwanachama hai wa...
  11. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Uelewa wako umefikia kikomo si kwa kushupaza ndonga huko, shida unahitaji fananisha zama za kiutawala. Hakuna tawala ambayo haina mabaya yake lakini wewe na vichaa wenzio waliotemwa/wanaotumiwa na mfumo/vibaraka mnajiona mko na hisa hadi kuwazia nani akae kwenye uongozi wa juu nje ya takwa la...
  12. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Nani msafi katika siasa za Africa zaidi ya kutofautiana viwango vya kutokuwa muadilifu tu. Ukiingia kwenye siasa usitegemee mbeleko za wananchi baada ya kuyakanyaga, ni mwendo wa mashambulizi hadi ufike ukingoni.
  13. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Mimi na wewe ndiyo boss wa boss wa Tanzania. Uwezi shindana na utawala kamwe hata uwe na nguvu kiasi gani, hao walikuwa ndani baada ya kuona maslahi yao yanaminywa wanajitoa kwa maneno mengi. Watafifia kama kibatari ufukweni.
  14. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Nimeangalia upande wa Polepole kwakuwa yeye ndiye aliye jitoa katika uongozi , huko beyond horizon unapopaona na vipofu wenzio ni gizani tu hamna jipya. Huo mkakati labda wa ghetto kwako na vichaa wenzio lakini hakuna wa kubadilisha mchezo, utamaduni wa CCM mgombea ni mmoja akiwa madarakani...
  15. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Ukijua wewe inatosha, ndiyo maana tupo wengi humu. Unahitajia tuchangie mada kadri ya mtazamo wako, hili ni jukwaa huru.
Back
Top Bottom