Apunguze kujikomba Kwa viongozi wa kuu wa chama Aina hii ya viongozi ndiyo wanafanya wapinzani wanakipiga mawe chama . Ni kweli Uvccm na jumuiya zingine ziko na wajibu wa kukitetea chama katika hali zozote na viongozi wake lakini si Kwa kukuza Mambo huku wafanyavyo wazee wa fursa, uchochoro...
Ni balehe ya uongozi inamsumbua lakini wahuni siyo watu bila shaka watapita naye kweupe. Watu wajipange na 2030 wewe ulete ulimi wako nje watapita naye bila shaka tena silence mode.
Sizani kama ametumwa ni vile anaishi ndani ya hulka yake ya kujiona bora zaidi na mwenye haki miliki ya nafasi zote mbele ya kusanyiko la watu, alichifanya si siasa ni kumdhalilisha Mh Raisi haswa Kwa uwepo wake hapo kama RC. Kufuatilia hili Jambo ni dhahiri kuna ombwe kubwa la wananchi hata...
Mama ni mtu wa pwani hivyo haiba ya kukasilika Kwa maneno itakuwa hana hilo ,ni vile awe makini na wachonganishi walio ndani ya chama/serikali yake kama Yule RC wa Arusha . Hii ni nyakati ya kila mtu kuwa huru kujieleza pasina kutweza utu wa mwingine au jamii Kwa ujumla hivyo inapaswa...
Sasa kama Mwenezi naye anataka camera kila Siku hapo kupata mtu Sahihi Kwa kazi ya kuvuta wanachama na kukisemea mema chama ni ndoto . Unaona Km Nchimbi alivyokaa nyuma ya game kisha mchezo unasomwa Tu.
Aachwe fukuzwa anayesimamia wizara inabaki kuzunguka kichaka , hakuna uwajibikaji Tanesco ni vile bora liende
Tanesco iko na idadi kubwa ya Engineers 500+ lakini hawana nguvu ya kuonesha uwezo wao zaidi ya kufuata matakwa ya akili ndogo zilizo juu ambayo ni ndiyo Mzee Kwa kila Jambo.
Biteko...
Kuna wakati kiongozi yapaswa vitendo vyako viongee sana kama mbinu anazotumia Nchimbi, chama kilijaa wapiga pambio bila mipango ya kuzikabili chaguzi.
Share hiyo ndoto kiongozi Kwa faida ya wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.