Kuna mtu alisogezwa karibu katika matukio ya hivi karibuni bila sababu licha ya kutemwa kwenye mikeka ya PM uenda ndiye atakula hilo shavu maana anaweza tumika vyovyote vile.
Huyo Dr sijui nanii aache uzwazwa na kutafuta fahamika zaidi kwa mgongo wa Tz, atunishiane misuli na ANC na kama ni mtetezi ayaoni manyanyaso ya nchi yake kwa wageni(Waafrica) hadi kupeleke vifo.
Kabisa, ingawa wapo na kiu ya kuifikia lakini hakuna njia mbadala.
Mngoni na Mr Guys Guys hawana mizizi ya kutisha ndani ya CCM, hivi vyama vimekuwa kama vikoba vya urithi na machawa pro maxx wale wadondokea humo ndiyo buyu la asali linafika miguuni.(si CCM, CDM , ACT n.k)
Ukiwasikiliza wana...
Hapa ndipo tunasema wapinzani wa nchi hawana Agenda ya kudumu kuleta mabadiliko ya hii nchi si kwa mawazo ya kutengenezewa kama hayo, Hakuna ugomvi wala hizo drama kati ya hao uliowataja zaidi ya kuwapumbaza tu.
Mngoni anajua aliye muweka hapo na hiyo bila shaka ni kete ya Mzee wa Msoga ili...
Hizi akili za kizee zilipaswa kukaa pembeni zinadumaza fikra za chama, sasa chama kinataka katiba mpya ingawa kwa mgongo wa chupa lakini hawa nao wanazidi kujilamba kwa wakubwa.
Katiba ndiyo muongozo wa nchi hivyo ikiletwa yenye mustakabali wa Tanzania iliyo bora uenda ikabadilisha kasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.