Recent content by Day 1 gongs

  1. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    "Mnatumia mbinu ipi kubaini imani za wanaoshiriki hiyo mikutano au huwa mnawasajili waliohudhuria kwa dini zao?" ☝️ umeona nafasi yako sasa.
  2. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Muonekano tu unatosha, kwani huko ulipo ndiyo mnasajili kwa majina?.
  3. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mawasiliano na Taasisi Serikali zihakikishe namba za Simu, Emails walizoziweka kwa tovuti zao zinafanya kazi, hii ni aibu!

    Wamejipata hawataki kelele zako/zenu kupitia simu au mail, subiri muda wenu mje lipiza kama hayo hayo.
  4. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Hudhuria mikutano yao kisha ujionee idadi ya Waislamu huko Chadema.
  5. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Mlengo wa mleta mada ni upande wa upinzani licha ya kuifanya kuwa habari huru.
  6. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Kabisa, ingawa wapo na kiu ya kuifikia lakini hakuna njia mbadala. Mngoni na Mr Guys Guys hawana mizizi ya kutisha ndani ya CCM, hivi vyama vimekuwa kama vikoba vya urithi na machawa pro maxx wale wadondokea humo ndiyo buyu la asali linafika miguuni.(si CCM, CDM , ACT n.k) Ukiwasikiliza wana...
  7. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Hapa ndipo tunasema wapinzani wa nchi hawana Agenda ya kudumu kuleta mabadiliko ya hii nchi si kwa mawazo ya kutengenezewa kama hayo, Hakuna ugomvi wala hizo drama kati ya hao uliowataja zaidi ya kuwapumbaza tu. Mngoni anajua aliye muweka hapo na hiyo bila shaka ni kete ya Mzee wa Msoga ili...
  8. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti UVCCM Dar: Katiba mpya sio suluhisho la matatizo ya vijana, uwajibikaji

    Hizi akili za kizee zilipaswa kukaa pembeni zinadumaza fikra za chama, sasa chama kinataka katiba mpya ingawa kwa mgongo wa chupa lakini hawa nao wanazidi kujilamba kwa wakubwa. Katiba ndiyo muongozo wa nchi hivyo ikiletwa yenye mustakabali wa Tanzania iliyo bora uenda ikabadilisha kasi ya...
  9. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Ni chama gani cha siasa humu nchini wakiona mgombea urais wa CCM anakubalika hadi ndani ya chama chao lazima watafute kisingizio cha kususia uchaguzi?

    Nazani hakuna chama kinakimbia labda chama tawala kijifikirie namna ya kuacha uhuru katika hatua zote za kabla ya uchaguzi. Siasa zetu ziko na ukakasi sana ingawa upande wa pili hawana agenda za kudumu katika hatma ya nchi yetu hivyo kuonekana kama madalali wa mabeberu tu. Walitokea wagombea...
  10. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Mifumo ya uoga iliyojengwa dhidi yao.
  11. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Polls zinashindwa timiza akidi hivyo kadri utakavyoziweka zitalenga kuiangusha CCm pia tambua wengi wa chama tawala ni wapenzi watazamaji humu haswa kwa mada zenye mlengo wa kukitweza nguvu chama Chao. Hahaha, humu multiple Id's nyingi za non-CCM bila shaka kwani ndipo mahali wanapo kuwa huru...
  12. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    CCM iko na ushawishi mkubwa tu humu JF Acha kuzua taharuki. Je? polls ulizofanya/Walizofanya zimezingatia akidi ya wanaJF hadi zioneshe CCM haina mvuto, wazee wa akaunti zaidi ya moja wakiona mada za CCM hawaishi kucheza na Thread hadi waone mwisho wa anguko lake. CCM ipo hai sana ndani ya JF.
  13. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Tumekusikia mpambe wa H. Mwinyi kwakuwa na yeye Mtanzania anafaa kutuongoza ingawa hii siyo nchi ya Kifalme. Kwa sasa Mwinyi hayupo karibu na Team za ushindi za bara hiyo kutokana na kiti alichokalia ingawa anayo fursa ya kujipambanua ikiwa atahitajia nguvu kubwa sana pamoja na ushawishi hii...
  14. Day 1 gongs

    JamiiForums Tanzania Endelea tu kuwaambia ndugu na rafiki zako mipango yako ya maisha. Utakapozeeka maskini ndipo utawafunza watoto wako kutunza siri

    Shukrani kwa funzo zuri, Kuna wengine mipango inapaa kila dakika kumbe watu washaiweka kwenye rada zao ile kabla ujatoa mrejesho washauliza status. Ifike mahali hadi nafsi yako uinyime taarifa tu maana nayo inaweza kuwa adui wa ndani.
Back
Top Bottom