Wakati wa uchaguzi wa wenyeviti wa Serikali za mitaa akitunga shairi hili lifuatalo na Sasa anasema hajaona kizuizi.
HODARI KAENGULIWA
Nalipanga kudamka,siku itapowadia
Foleni kuziepuka,kwani huleta udhia
Kura npige haraka,bila kuzua ghasia
Hodari kaenguliwa,kura yangu ni hapana
Hamasa...