Recent content by davisngosha

  1. D

    Samadu Hassan Maduhu

    Sir name yake ni maduhu
  2. D

    Mambo ya TBC 1

    TBC ilikuwa ya Mhando sikuhizi niviloba tu
  3. D

    Mwanausalama Tanzania aaibika kutumia nguvu na mwanausalama wa Obama kumlinda mwandishi

    Umeambiwa usiende pale kama hujaruhusiwa, wewe kwaumwamba wako unaenda,tutakupiga tu,ikibidi tunakuuwa tu kwani nini tushachoka.
  4. D

    Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

    Mtikila yupo sawa nimzalendo wakweli mana anatetea wasukuma ambao ni watanzania wenzake ,watutsi ni watu hatari sana.
  5. D

    Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

    MTIKILA YUPO SAWA KABISA WATUTSI NI WATU HATARI SANA,ONA WALIVYO MDANGANYA KENYATTA! INAMANA EAC NI YA NCHI TATU TU? :clap2:
  6. D

    Tukio la Arusha: Nchimbi ajichanganya Bungeni

    wewe na nchimbi akli zenu zinalingana
  7. D

    Tukio la Arusha: Nchimbi ajichanganya Bungeni

    I hate Nchimbi he is behind all crimes in our country
  8. D

    Tukio la Arusha: Nchimbi ajichanganya Bungeni

    nchimbi ni boya kira mtu anajua
  9. D

    'Je tutafika' Kipindi cha TV: USA wanahusika na mabomu ya Arusha

    hawa hawana tofauti na shehkekadinali Pengo,wana jaribu kuondoa udini kwa hoja za lejaleja ukwel ni kwamba udini upo tunacho takiwa kufanya ni kutafuta solution sio kubwabwaja tu hii issue ngum et
  10. D

    'Je tutafika' Kipindi cha TV: USA wanahusika na mabomu ya Arusha

    hawa hawana tofauti na shehkekadinali Pengo,wana jaribu kuondoa udini kwa hoja za lejaleja ukwel ni kwamba udini upo tunacho takiwa kufanya ni kutafuta solution sio kubwabwaja tu hii issue ngum et
  11. D

    Wasanii wa kizazi kipya wanaotarajiwa kugombea ubunge 2015

    Joseph Haule wamituringa ni wa ukweli sana
  12. D

    CHADEMA kufa kabla ya 2015: Madhara ya 'Oil chafu' na kuamini ktk watu

    umetumwa? kule vijijin kuna wana chama wengi wa ccm wengine hawajua hata kusoma je wote wana ijua ITIKADI ya ccm? ukweli nikwamba unaongea kishabiki tu, ccm ndo iliyokwisha kufa bado mazishi tu.
  13. D

    Tanzania tumeingiliwa, kuna magaidi kutoka nje ya nchi

    mashushu sku hizi wapo kwel au viroba visha waharibu?
  14. D

    Chris Lukosi aelezea sababu zilizomfanya arudi CCM

    Bila shaka uliishia Dar au mji mwingine mkubwa kama Mza na Arusha,siku nyingine ukija jaribu kutembelea vijijin especially vijiji vya singida,kondoa,rufiji e.t.c,huko kuna shule hazna walm,hakuna hospital,hakuna huduma ya maj saf,hakuna barabara,umeme umepita juu ya paa za nyas wanaonaga waya tu...
Back
Top Bottom