INAMAANA HAPA UKIWEKA MITANO TENA (5) TZ aka MALAWI INAKUWA NCHI YA KWANZA TAJIRI DUNIANI NA MBINGUNI
Na WAARABU WATARUDI KWAO KWASABABU TUTAKUWA HATUHITAJI WAWEKEZAJI TENA
WE JAMAA ACHA KUTUCHOTA
INAMAANA WANAFUNZI WA SHULE ZA BORDING {GIRLS SCHOOLS) UNATAKA UTUAMINISHE KUWA
TAYARI WANA MASHIMO MAKUBWA??????????????
MAANA MICHEZO KAMA HIYO MARA NYINGI HUANZIA HUKO.
CV yake yote GWAJIMA alishaitoa kipindi cha vyeti feki.
Ila chuo alisoma ushirika aka DISCO akarudia kombi ya KIKE yaani COMMUNITY DEVELOPMENT ndo akatoboa kwa ShidaShida.
HII NCHI UKISHAJULIKANA NA WAKUBWA UTABEBWA TUU HIVYOHIVYO HATA KAMA NI ZUZU
Huu ni upotoshaji wa BBC. Kanisa katoliki halijabadili kitu chochote kwenye ufungaji wa ndoa
Ndoa ya katoliki imeshikilia pale pale kwamba Mwanaume atamuacha baba yake na mama yake Naye wataambatana na MKEWE nao watakua mwili mmoja. MWANZO 2:24, MATHAYO 19:5
Kumbuken
Huu ni upotoshaji wa BBC...
HAWA NI WALE WALIOPITA KWA KURA ZA WIZI ENZ ZA MWENDA ZAKE ILI BUNGE LIWE KIJANI
MATOKEO YAKE NDO HAYA SASA
SIO CHAGUO LA WANANCHI NA HAPA NDO INATAKIWA CCM WAJIFUNZE.
Yaani kweli watanzania tunavyo teseka na maisha magumu, KODI kilamahali mpaka kwenye utilities[luku]
na umeme wa nusu siku, ukosefu wa ajira, ukandamizaji na mengineyo.
KWEL UNAANDIKA KWA KUJIONA UPOSAWA NA UME POST KITU CHA MAANAAAAA
KATUBU NDUGU YANGU
KAMA UNALELEA TUMBO LAKO KWA KUPOST VITU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.