Recent content by DavidMoyes

  1. D

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Unapatikana wapi, chukua 400k
  2. D

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mnapatikana maeneo gani? 40" Zipo?
  3. D

    ZITTO: Msimamo wa ACT Wazalendo kuhusu Ushirikiano wa vyama

    Hivi kuna ushirikiano wa vyama ambao hautakuwa na makubaliano ya kugawana nafasi za uongozi??? Lazima terms za ushirikiano ziwekwe bayana ili msije mkageukana baadae ati...! Uyo jamaa wasimkubalie hata akiomba maana anaonekana kabisa ni mbinafsi..
  4. D

    Simu ya Hawa Ghasia yatumia Sh. 25 milioni

    Izo figure sio realistic sema kuna hela inataka kupigwa hapo. Maana milioni 25 kwa miezi miwili, kwa mwezi ametumia mil 12.5 kwa maana alitumia zaidi ya laki nne kwa siku. Unaongea madudu gani kwenye simu hadi utumie laki nne kwa siku?
  5. D

    Taarifa: Mkutano Mkuu na Uzinduzi wa chama cha ACT, Tarehe 28 na 29 Machi

    Hivi nyie makao yenu makuu ni Jamii Forums au.....?
  6. D

    Kwanini kura ya maoni ni lazima iwe April 30 na si vinginevyo?

    Nini kifanyike? Viongozi wasifanyike kila kitu kwa misukumo ya kisiasa. Mchakato mzima wa kuandikwa katiba uligubikwa na matakwa ya kisiasa hasa kwa chama tawala. Mbinu nyingi za kilaghai zimetumika ili kuhalalisha yale wanayoyataka watawala badala ya kufuata maoni ya wananchi. Rasimu ya mzee...
  7. D

    Kwanini kura ya maoni ni lazima iwe April 30 na si vinginevyo?

    Ni ukweli usiopingika mwaka huu chama cha Mapinduzi kitakuwa na wakati mgumu wa kumpata mgombea wake wa Urais ambaye ataungwa mkono na makundi yote ndani ya chama hicho. Ukiachilia mbali 'battle' kati ya mgombea na mgombea, iko nyingine kati ya Uzanzibari na Utanganyika(sipendi neno Utanzania...
  8. D

    Zitto aitisha Press Conference (Machi 22, 2015) Serena Hotel

    Iyo ishu iliibuliwa kwa mara ya kwanza na gazeti la Citizen bana kama hamjui bora mkae kimya.
  9. D

    Taarifa kwa Umma kuhusu UKAWA kugawana majimbo ya uchaguzi, mgombea mmoja

    CHADEMA ni mojawapo wa hao member wa UKAWA wanaodaiwa kugawana majimbo. Hapa wametoa taarifa kwa upande wao. Vyama vingine pia vinavyounda UKAWA vinaweza kutoa taarifa zao. Mwaka huu lazima hayo yanayo gonga gonga 'chipu' yatoke....
  10. D

    Zitto kuaga wabunge wenzake leo - Machi 19, 2015

    Nyie jipeni matumaini tu chama kilichojifia lakini bado kinashinda chaguzi zote za marudio Serikali za mitaa! Hata Gadafi alipokuwa anakaribia kupinduliwa alikuwa akisema hivyo hivyo akiwafananisha wapinzani wake na panya, lakini amekuja kustuka hawa hapa miguuni..! ikawa too late. Badala...
  11. D

    VIDEO: Kinana awalipua CHADEMA, ataja Wizi Mkubwa Halmashauri ya Karatu inayoongozwa na CHADEMA

    Wizi mkubwa zaidi ya ESCROW, Richmond, Radar...........??????? kaazi
  12. D

    CHADEMA yaigalagaza tena CCM

    Tofauti kabisa....!
  13. D

    Escrow kumuumbua Rais Kikwete

    Hukuielewa ripoti ya PAC kama uliisoma.Kuna pesa ilikuwa inalipwa IPTL moja kwa moja. Hivyo hizo bil 306 toa izo bil 202 ujue hicho kiasi kilichokuwa kimelipwa IPTL moja kwa moja.
  14. D

    Natafuta rafiki 'Girlfriend' wa kuchat nae

    Watu wa aina yako ndio enzi mnasoma mlikuwa mnakesha usiku kucha halafu bado mnafeli. Huwezi kuwa unafanya kazi mda wote kama roboti,na pia we unajua Mhandisi ni wa ujenzi tu!
  15. D

    Natafuta rafiki 'Girlfriend' wa kuchat nae

    Mimi ni Mhandisi,mjasiliamali naishi Dar es salaam. Natafuta marafiki wa kike wa kuchati nao. Zaidi nitumie PM.
Back
Top Bottom