Recent content by Davidmmarista

  1. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Hakuna anaefahamu this are just rough estimation. To see if this is true we need to stay at an appropriate billion of light years far away from earth away tuangalie. What we can see is billions of light years away on other stars. Pia tumekuwa na idadi kubwa ya watu after advancement of science...
  2. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    😂 ntakuambia usiwaze.
  3. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Madam mbona nipo kila siku humu ila nimepoa tu. Siku hizi nasoma threads, but soon nakuja na madini.
  4. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Mionzi mingi ya Sasa Haina madhara makubwa kama hapo nyuma pia sehemu ambayo wataalamu hukaa kumejengwa na concrete kwahiyo ni ngumu sana kwa radiation kupenetrate unaweza kufanya utafiti wa asilimia ya watu ambao wapo affected na miozi kama X-ray kwa miaka ya Sasa. I think ni wachache mno, kwhy...
  5. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Somea chochote bob, just keep in mind unakuja kutatua changamoto za watu na ndio zitakazokulipa. You can take anything you want ila angalia soko la nchini yetu limelala wapi? my recommendation kwa hapa nchini ingia kwenye masuala ya Afya, Kilimo, Technology, Transportation, Energy(Natural Gas)...
  6. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Iwambi yote hii mkuu nimezunguka.
  7. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Juzi nilikuwa napiga misele Iwambi aise kumejengeka sana sio poa 🙌 ingawa location naona sio nzuri kama unapenda privacy.
  8. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

    Mambo ni mengi
  9. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Kwanini usiende wewe unae claim kuwa upo ili tuone. Ukisema kitu kipo unatakiwa uweze kuthibitisha sio kuja na kelele. Njoo na uthibitisho nenda huko kwa wazee.
  10. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Kelele nyingi njoo na uthibitisho hapa mkuu Mimi sifahamu wewe njoo tuoneshe any prove uchawi upo.
  11. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Wewe ndio unatakiwa ku-prove maana wewe sindio una claim upo.
  12. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee ni nini chanzo halisi Cha shinikizo la juu la damu yaani blood pressure especially for young people in their 20's

    Eeh atleast ila you might sometimes worsen your condition with exercise at the same time save your condition.
  13. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee ni nini chanzo halisi Cha shinikizo la juu la damu yaani blood pressure especially for young people in their 20's

    Mkuu uta increase chaos ni Bora ufanye ya kutembea unapokimbia inasababisha mapigo ya moto kuwa juu vilevile pressure Ina rise juu. It's better uka consider kutembea, na light exercise ambazo utafanya consistently bila kuacha.
Back
Top Bottom