😁Dada hizi ni vitabu vya kiimani tu kama hivi vingine the only books that will reveal facts to you are science and math related books because they can prove how things are.
No one who knows. Wahindi wapo sahihi, wabudha wapo sahihi, wakristo wapo sahihi. Kila mmoja ana Imani yake but remember believe is not facts or non facts.
It's an illogical thing. No one has an answer if there is God or not we don't know. Either someone says yes or no both have no answers to this. We could all agree if there's verifiable evidence that it's real or not.
This thing is the same as Plato's Allegory of the cave. People like Charles...
Lakini mkuu si unajua lengo la logic kutambua ukweli na uongo. Sasa kama yesu amakuponya si kuna either ikawa kweli au uongo.
I think haya mambo ni more illogical than logical.
Huu ni ujinga tu madam achana na wajinga. Teknolojia ipo kwaajili ya kuboresha maisha, japo kuna madhara yake lakini kitu kinaitwa mwisho wa Dunia ni fiction tu za watu.
Mamillion ya miaka binadamu tume-evolve hadi sasa tupo ulimwengu wa binary na computation of data. Tumeshatoka kwenye vifaa...
Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona.
Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
Kwa upande wangu nimeridhika na maisha yangu kwani kwangu utajiri sio kuwa na pesa na Mali nyingi Bali ni kuishi maisha nnayoyataka Mimi, bila kudaiwa na mtu, kusumbuliwa Kodi na mtu. Gharama za maisha ni ndogo kuliko kipato changu, nabakiwa na akiba. Kwahiyo inatokana na the way utakavyoona but...
Very interesting, maisha ya binadamu yamekuwa ya kusaidiana na umoja. Ukiona unajitenga na jamii kuna kitu hujakielewa kuhusu haya maisha.
Kuna wakati pia, nilikuwa busy sio mtu wa kuongea na watu sana. Kuna siku jirani yangu akaja kwangu alikuwa amebeba mfuko sikufahamu Kuna nini. Baadae...
It's depends na makubaliano maana Kuna ndoa za aina mbalimbali Kuna ambazo zinafanya vizuri vilevile ndoa similar zina changamoto. It's guarantee ndoa ni makubaliano, maelewano na mshikamano.
Ni kupambana tu boss. Maana kila unapojijengea thamani unakuwa tegemeo la watu wengine. Kazi/shughuli unayoifanya Incase ipo kwaajili ya kusaidia watu kutatua changamoto zao, kuwafanyia maisha yawe rahisi, kuwapa huduma fulani basi wewe ni msaada kwa watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.