Sijajua lakini maana hata border zote nchini Zina experience Cross Border Trade kutokana na exchange ya bidhaa mbalimbali. Sifahamu vizuri kuhusu Hilo eneo but the main point ni kukaa sehemu yenye fursa
😂 Ni long term strategy, unaanza na investment kidogo kwanza hata 10 to 20 zitakufundisha kuliko kuwa na 100 kwa mkupuo. Utajua namna ya kukabili negative outcome utengeneze marginal profit kubwa.
😂It's requires a lot of investment watu wengi hawana kipato hicho. Unajua farming for beef ukiwa mjanja it takes 3 to 5 month unakuwa unazuia approximately 700k to 1M yako per cow.
Yeah ipo hivyo, mjini kuna uhitaji mkubwa zaidi. Tukihangalia kutokana na takwimu. Uzalishaji wa beef farming kutoka vijijini ni mdogo haukidhi mahitaji ya watu wote ndio maana kuna fluctuation ya bei. Nikikamata hekari zangu 20-50 nikaweka samaki plus ng'ombe wachache kwaajili ya biashara...
Tunajua sasa hivi nyama ya ng'ombe imepanda bei, 😂 kwahiyo kidogo tunaorudi vijijini tunaenda kuweka ranch ya maana ya kulisha kinondoni kwa miezi kadhaa. Mbona Hela tutaingiza tu, ni suala la muda.
Kazi zipo tu, tunaweza tukaenjoy life na nature na bado mpunga ukaingia vizuri.
Zipo mkuu content creators hao ambao wanatengeneza faceless video. Kuna jamaa mmoja mshakaji wangu sana, anampunga mzuri tu kwa kufanya YouTube na video zake ni full faceless.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.