Recent content by Davidmmarista

  1. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

    😁Dada hizi ni vitabu vya kiimani tu kama hivi vingine the only books that will reveal facts to you are science and math related books because they can prove how things are.
  2. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

    No one who knows. Wahindi wapo sahihi, wabudha wapo sahihi, wakristo wapo sahihi. Kila mmoja ana Imani yake but remember believe is not facts or non facts.
  3. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

    It's an illogical thing. No one has an answer if there is God or not we don't know. Either someone says yes or no both have no answers to this. We could all agree if there's verifiable evidence that it's real or not. This thing is the same as Plato's Allegory of the cave. People like Charles...
  4. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

    Tusuburi tuone ameenda kusalimia kwenye galaxy nyingine.
  5. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

    Lakini mkuu si unajua lengo la logic kutambua ukweli na uongo. Sasa kama yesu amakuponya si kuna either ikawa kweli au uongo. I think haya mambo ni more illogical than logical.
  6. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

    Ngoja nichek nione.
  7. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

    Sijauona ni tag basi kama ume-interact.
  8. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

    Huu ni ujinga tu madam achana na wajinga. Teknolojia ipo kwaajili ya kuboresha maisha, japo kuna madhara yake lakini kitu kinaitwa mwisho wa Dunia ni fiction tu za watu. Mamillion ya miaka binadamu tume-evolve hadi sasa tupo ulimwengu wa binary na computation of data. Tumeshatoka kwenye vifaa...
  9. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

    Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona. Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
  10. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wengine Wanatajirika Haraka, Wewe Ukibaki Maskini? (Soma hapa ufahamu)

    I agree but fursa zipo ni limitation za watu walizonazo kwenye maisha zinawafanya wasiweze kupata fursa.
  11. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wengine Wanatajirika Haraka, Wewe Ukibaki Maskini? (Soma hapa ufahamu)

    Kwa upande wangu nimeridhika na maisha yangu kwani kwangu utajiri sio kuwa na pesa na Mali nyingi Bali ni kuishi maisha nnayoyataka Mimi, bila kudaiwa na mtu, kusumbuliwa Kodi na mtu. Gharama za maisha ni ndogo kuliko kipato changu, nabakiwa na akiba. Kwahiyo inatokana na the way utakavyoona but...
  12. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Maisha Yamenifundisha Jambo Moja: Usisubiri Mtu Akuokoe

    Very interesting, maisha ya binadamu yamekuwa ya kusaidiana na umoja. Ukiona unajitenga na jamii kuna kitu hujakielewa kuhusu haya maisha. Kuna wakati pia, nilikuwa busy sio mtu wa kuongea na watu sana. Kuna siku jirani yangu akaja kwangu alikuwa amebeba mfuko sikufahamu Kuna nini. Baadae...
  13. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Wanawake waliokuzid umri wanafaa kwa ndoa

    It's depends na makubaliano maana Kuna ndoa za aina mbalimbali Kuna ambazo zinafanya vizuri vilevile ndoa similar zina changamoto. It's guarantee ndoa ni makubaliano, maelewano na mshikamano.
  14. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Maisha Yamenifundisha Jambo Moja: Usisubiri Mtu Akuokoe

    Ni kupambana tu boss. Maana kila unapojijengea thamani unakuwa tegemeo la watu wengine. Kazi/shughuli unayoifanya Incase ipo kwaajili ya kusaidia watu kutatua changamoto zao, kuwafanyia maisha yawe rahisi, kuwapa huduma fulani basi wewe ni msaada kwa watu.
  15. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Maisha Yamenifundisha Jambo Moja: Usisubiri Mtu Akuokoe

    Itakuwa haelewi ecosystem ya maisha ipo je. Japo atajifunza polepole huko mbeleni.
Back
Top Bottom