Recent content by Davidmmarista

  1. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Biblia ya kweli ni ipi? Injili ya Wagnostiki ina nafasi gani kwenye Ukristo?

    Nnachofaham ni kwamba hivi vitabu ni vya stori kama stori nyingine tu.
  2. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Sijajua lakini maana hata border zote nchini Zina experience Cross Border Trade kutokana na exchange ya bidhaa mbalimbali. Sifahamu vizuri kuhusu Hilo eneo but the main point ni kukaa sehemu yenye fursa
  3. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    😂 Ni long term strategy, unaanza na investment kidogo kwanza hata 10 to 20 zitakufundisha kuliko kuwa na 100 kwa mkupuo. Utajua namna ya kukabili negative outcome utengeneze marginal profit kubwa.
  4. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Kuna fursa gani huko boss?
  5. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    I think 20 to 50 acres can be enough kwa 100+ cows. Plus some fishing ponds.
  6. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    😂It's requires a lot of investment watu wengi hawana kipato hicho. Unajua farming for beef ukiwa mjanja it takes 3 to 5 month unakuwa unazuia approximately 700k to 1M yako per cow.
  7. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Yeah ipo hivyo, mjini kuna uhitaji mkubwa zaidi. Tukihangalia kutokana na takwimu. Uzalishaji wa beef farming kutoka vijijini ni mdogo haukidhi mahitaji ya watu wote ndio maana kuna fluctuation ya bei. Nikikamata hekari zangu 20-50 nikaweka samaki plus ng'ombe wachache kwaajili ya biashara...
  8. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Tunajua sasa hivi nyama ya ng'ombe imepanda bei, 😂 kwahiyo kidogo tunaorudi vijijini tunaenda kuweka ranch ya maana ya kulisha kinondoni kwa miezi kadhaa. Mbona Hela tutaingiza tu, ni suala la muda. Kazi zipo tu, tunaweza tukaenjoy life na nature na bado mpunga ukaingia vizuri.
  9. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Dah mwali, tumekuwa gumzo watu wenye hizi.l ndoto za kukaa mbali na mji.
  10. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuwa na cabin ni muhimu sana.

    Seran
  11. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mji wa Babeli ulipewa sifa mbaya sana na waandishi wa Biblia?

    Infropreneur Karibu mkuu 🫴
  12. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuwa na cabin ni muhimu sana.

    Just look at his engagement, subscribers, watch time hours nadhani si chini ya 2M
  13. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuwa na cabin ni muhimu sana.

    Mcheck YouTube channel yake inaitwa Bongo Vibe hutomuona jamaa, Facebook pia yupo.
  14. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuwa na cabin ni muhimu sana.

    Zipo mkuu content creators hao ambao wanatengeneza faceless video. Kuna jamaa mmoja mshakaji wangu sana, anampunga mzuri tu kwa kufanya YouTube na video zake ni full faceless.
  15. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuwa na cabin ni muhimu sana.

    That's true mkuu, huwezi kuishi completely off-grid. Nadhani kwa mtu anayefanya remote job inapendeza zaidi kuishi such life.
Back
Top Bottom