Soga za mbinguni na motoni, visakale kuhusu uumbaji, hekaya za Immanuel, mtume Mo, na manabii kadha wa kadha. Tarihi mbalimbali zinazoelezea uchawi wa yesu na baba yake plus watu wao wa karibu. Vyote havina uhalisia na ukihoji sana unaambiwa acha utakufuru.
Let's be serious guys, it doesn't...
Kuna watu wanajiona ndugu wa Yesu mnazaleti na wengine wanajiona ni ndugu wa damu wa Mtume Mo. Halafu kila mtu kati yao anaona kuwa kundi lake ndio wana hatimiliki ya Mungu.
Hapa walituweza kwa kweli
Tanzania ujinga ni mwingi. Ila ujinga mkubwa naona upo kwa wasomi wa nchi hii. Yani wasomi tumekuwa walamba viatu vya makada wa sisiemu na viongozi wa nchi na tumesahau jukumu letu la kuleta mabadiliko katika nyanja mbalimbali ili kuchochea maendeleo nchini. Ugonjwa wa uchawa umeenea kwa kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.