Oya hii picha huyo aliyevaa shati la njano kafariki jana. Ilipigwa 2018. Vipi kuhusu huyo aliyevaa koti (sweta) ni mamlaka au ni nin..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa. Maisha ni popote. Ukiona sehemu watu wanaishi ujue uhai upo hapo. Japo itakuchukua mda kuzoea lakini utazoea. Kitu kikubwa ni mahusiano mazuri na watu wa pale.
Haha wakati wa kutafuta usijiwekee mipaka. Kubali kwenda sehem yeyote ikitokea umeshindwa basi kuna kitu utajifunza. Kikubwa usitoke kwenye career yako tu.
Nafikiri kama kijana ninasafari ndefu ya kujifunza na kupata uzoefu wa sehemu mbalimbali ili kuongeza value yangu katika career yangu...
Mimi nilikua simwamini ila sku moja kwa macho yangu nimeona jogoo anapupa na kufa baada ya kumwagiiwa maji ya bombani ambayo aliombea usiku. Alafu haijapita siku mbili nikaona tena kwa jirani kunguru alitua dukani kamwagiwa kafa na nilimtoa mwenyewe. Haya mambo bora tukae kimya tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.