Nikiwa kama mtanzania mpenda mabadiliko ya kisiasa ninaamini katika umoja ni nguvu ninaamini Dr Slaa ndiye mwanasiasa wa upinzani mwenye ushawishi mkubwa binafsi namkubali sana, na kama mnavyojua michakato ya kuelekea magogoni imepamba moto, sasa tuko kwenye safari ya matumaini ya kushika dola...
Hatimaye jimbo la buhigwe waamua wamemchagua ndugu BUDIDA Kupeperusha bendera ya Chadema,bwana BUDIDA a.k.a jembe ameshinda kwa kura 170 wakati mshindani wake wa karibu ndugu James Daudi amepata kura 106.
Hakuna siku ambayo itanifanya niichukie chadema nikiwa miongoni mwa wanachadema wazalendo kama Siku nitakayosikia Kuwa bwana Lowassa ni mwanachama mwandamizi wa chama chetu kinachojipambanua kwa kupinga ufisadi kama chama kitampokea lowassa Mimi lasmi nitaachana na siasa kwa sababu chama...
Jana tulitarajia kutangaziwa jina la mgombea urais wa ukawa, jambo ambalo tulilisubiri kwa hamu na mda wote tangu asubuhi mpaka usiku tulijazwa matumain feki kwamba mgombea urais angetangazwa pamoja na mgao wamajimbo matokeo take zikatoka taarifa usiku kuwa mgombea urais atatangazwa baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.