Kwema wa ndugu,
Binafsi nilikuwa naomba msaada kwa yeyote anayefahamu kujiunga maana mie nimefungua mwanzoni nimeweka email yangu na wakanitumia email ya kuactivate shida ilianza hapa kwenye kuactivate mara iandike failed to activate au nikijaribu na email nyingine inaambia activated na ukitaka...
pombe haina faida yoyote ya kimsingi Zaidi ya kupata matatizo kibao ya kimwili ikiwemo pancreatitis, liver cirrhosis, inaaffect mfumo wa fahamu (CNS), cancer na hata ni moja ya risk factor ya ulcers kwa mimi naona hamna faida yoyote Zaidi ya kujitia matatizoni ni ushauri tu TAKE IT OR LEAVE IT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.