Recent content by David Chriss

  1. David Chriss

    Mamlaka ya Maji Machame, nimelipa kuunganishiwa maji wananizungusha hadi leo

    Hata mimi Mwezi wa nne sasa wana niambia vifaa hakuna Mamlaka ya maji hawako serious na kazi yao.. mtu unalipia kwa wakati unakaa Miezi 4 na zaidi una ambiwa vifaa hamna vifaa hamna
  2. David Chriss

    Chimbo la Flash Disks, Memory Card na Vifaa vya Simu Original za JUMLA

    Habari wana JF, Kwa anayefahamu chimbo la bidhaa za Jumla, za Flash Disks, Memory Card, na Phone Accessories.. Location iwe Arusha au Dar.. Sana sana Arusha kama zipo..
  3. David Chriss

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Download speed kwenye maswala ya Torrent inategemea na idadi ya Seeders.. kama hamna seeders au seeders ni wachache speed inakuwa ndogo
  4. David Chriss

    Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

    Mkuu.. umefanya maamuzi gani
  5. David Chriss

    TANESCO yatangaza mgao wa Umeme katika baadhi ya Maeneo nchini kuanzia Septemba 15 hadi 18

    Mvua ikinyesha umeme una katika.. jua likiwaka.. mgao wa umeme... Tanzania sihami 😁
  6. David Chriss

    Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

    Hapana hiyo siyo kwa line.. Ni Mtandao wa shaba, unatakiwa pia ununue na ADSL moderm zao
  7. David Chriss

    Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

    Wanayo unlimited ya 20,000 kwenye Nduki Packages
  8. David Chriss

    Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

    Hivyo ni vya T-Fiber: Nduki Package hivi Hapa (Unlimited GB):
  9. David Chriss

    Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

    Shukurani mkuu, Nime kupata sasa
  10. David Chriss

    Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

    Habari mkuu, nime jaribu kutafuta hiyo post uliyo elezea namna ya kupata makadirio ya gharama kweli sija iona, nime angalia profile post zako, sija fanikiwa kuona, unaweza ukaweka link yake hapa, kwa urahisi zaidi
  11. David Chriss

    Jinsi ya kupata channel za nje BURE zaid ya 200+

    Mkuu inawezekana kwenye Tv ya Hisense nina channel zina niambia NO CI MODULE
  12. David Chriss

    Jinsi ya kupata channel za nje BURE zaid ya 200+

    Mi nanayo .bin file kwenye flash ila ina niambia "No mach file" nifanyaje hapo.. Natumia Digital TV Hisense
  13. David Chriss

    Serikali yatoa tahadhari ya Homa ya Manjano

    Ukipata hiyo homa ya manjano.. Una itibuje au unafanya nini ili iweze kuondoka
  14. David Chriss

    Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

    Mama Debora na mimi nimapata homa ya manjano.. Ume wezaje kuutibu ugonjwa huu..?
Back
Top Bottom