Leo ni semina kila eneo. Nauri hiyo haitoshi! Mazingira ya kijijini usafiri wa kwenda Katani ni shida , mpaka bodaboda. Mfano. Kutoka nilipo mpaka katani ni km 20, je, hiyo 5000/ itatosha?
Kete ya katiba mpya waitumie vizuri sana. Kuna wananchi hawaijui katiba pendekezwa kuwa ilitungwa na ccm waliodharau maoni ya watanganyika na wazanzibar wanaotaka serikali 3. Waeleze kwa uwazi kabisa hasa mhe. Lowasa mwenyewe aahidi kuturudishia serikali ya tanganyika na kutatua kero za...
Kikwete akiwa Kenya aliwahakikushia kuwa ushirikuano wa Tanzania na Kenya utaendelea hata akitoka. Akawaambia kuwa Rais ajaye Leo yupo Arusha, akimaanisha MAGUFULI. Je, Kikwete anatuchagulia Rais? Kingunge hakukosea aliposema Katiba ilivubjwa na watu fulani waliomtaka Magufuli.
Unamtaka magufuli na katiba inayopendekezwa? Yeye yupo kwenye msimamo wa ccm wa kuhakikisha katiba yao inapita kwa namna yo yote. Katiba inayotokana na maoni ya watanzania tutaipata ukawa wakishika dola.
wewe unayesema hata Magufuli akiwa Rais sawa tu! Je, na wewe hauitaki katiba mpya inayotokana na maoni yetu? MAGUFULI YUKO UPANDE WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA!
Huko ndiko matokeo huchakachuliwa. Wanadai siku hiyo watafunga mitandao/ data! kwa faida ya nani? Bila shaka hawataki matokeo ya vituoni yatumwe makao makuu ya vyama ili yajumlishwe kama Ndeesambulo na Lisu walivyo ahidi kufamya. UKAWA WAWE MAKINI , USHINDI WANAO LAKINI WAKIZUBAA BAO LA MKONO...
Walimu wengi bado wanaidai serikali lkn hao CWT wapo kimya huku wakiendelea kufyeka 2% ya mshahara wa mwalimu kila mwezi. Kwa upande Wangu sioni umuhimu wa CWT ya sasa!
bado siku zake 19 za urais, uteuzi wa nini? Time ya uchaguzi watuache kabisaa tulinde kura zetu na mitandao isizimwe siku hiyo ili kurahisisha mawasiliano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.