Unamtaka magufuli na katiba inayopendekezwa? Yeye yupo kwenye msimamo wa ccm wa kuhakikisha katiba yao inapita kwa namna yo yote. Katiba inayotokana na maoni ya watanzania tutaipata ukawa wakishika dola.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.