Recent content by David ayeya

  1. David ayeya

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Nahitaji hii perfume, nipo Dar chanika 0689894403.
  2. David ayeya

    Eneo zuri kwa biashara ya hardware

    Habarini wakuu, Natafuta location nzuri kwaajili ya kufungua biashara ya hardware hasa pembezoni mwa mji ambapo bado ujenzi unaendelea. Itapendeza kama itakuwa ndani ya mkoa wa Dar au Pwani. Ni biashara ambayo nina ifanya mpaka sasa maeneo ya chanika ila nahitaji kubadilisha location. Mtaji...
  3. David ayeya

    Nahitaji ushauri wa aina ya Biashara kwa mtaji wa milioni 20

    Bahati nzuri umeandika MIKIONI na sio milioni....anyway nadhani ni akili yako ndogo ndio imekuongoza kuandika nonsense!
  4. David ayeya

    Nahitaji ushauri wa aina ya Biashara kwa mtaji wa milioni 20

    Tatizo ni location mkuu coz competition ni kubwa sana!
  5. David ayeya

    Nahitaji ushauri wa aina ya Biashara kwa mtaji wa milioni 20

    Kwenye lodge hapana labda kwenye nafaka mkuu
  6. David ayeya

    Nahitaji ushauri wa aina ya Biashara kwa mtaji wa milioni 20

    Mimi nipo Dar, ninafanya biashara ya hardware ila nimekutana na changamoto nafikiria bubadilisha biashara, pia ninafikiria kuhusu biashara ya nafaka ila sina uzoefu nayo
  7. David ayeya

    Nahitaji ushauri wa aina ya Biashara kwa mtaji wa milioni 20

    Habarini wakuu, Kwa mtaji wa shilingi Milioni 20 ninaweza kufanya biashara gani?
  8. David ayeya

    Biashara ya kuzalisha misumari

    Bro. Naomba tushirikiane kwenye hiyo project
  9. David ayeya

    House4Sale Nauza nyumba yangu Chanika

    Nilisahau picha ndio hiyo hapo
  10. David ayeya

    House4Sale Nauza nyumba yangu Chanika

    Nyumba ipo Chanika mwisho wilaya ya ilala DSM Ina chumba kimoja chenye ukubwa wa futi14 kwa14 na fremu ya biashara moja pia yenye ukubwa wa futi14 kwa 14. Imekamilika kila kitu pamoja na tiles Ipo kwenye barabara ya mtaa na ni sehemu nzuri ya biashara hususan biashara ya hardware au duka la...
  11. David ayeya

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Naitwa David ninsishi chanika Dsm, Nahitaji mchumba. Umri wangu 31 Makaz- chanika Dsm
  12. David ayeya

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Naitwa david nahitaji mke wa kuoa, Umri wangu31 Makazi- chanika Dsm
Back
Top Bottom