Recent content by David Angel

  1. David Angel

    Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

    “Chanzo cha dunia, uhai na ulimwengu ni nini?" Chanzo huwa na ukomo (mwisho) Uhai mwisho wake ni kifo. Vipi kuhusu dunia na ulimwengu mwisho wake ni nini? Je ni lazima kila kitu kiwe na chanzo na mwisho? Kama ndivyo hata hicho chanzo unachokitafuta utahitaji kutafuta tena chanzo chake, tena na...
  2. David Angel

    Kua uyaone, mikoani madukani kuna kipimo cha sukari hadi ya shilingi 200, mafuta 100

    Wewe unaijua Dar es salaam kweli? Au umekulia ushuani? Kwa taarifa yako dar kuna mitaa siyo sukari ya 200 tu. Mkate unauziwa nusu au robo. Karoti, hoho, na nyanya vimekatwa unauziwa kipande.
  3. David Angel

    Kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora?

    Ukizingatia mlombano taimu. Ukutani ni muhimu
  4. David Angel

    Visa vya kweli: Siri za kujamiiana katika koo

    Nimepitia comments, watu wanajitahidi kulaani, kukemea na matusi juu. Wengine wanauliza kabila la mtoa uzi. Ila ukweli ni kuwa suala la kulana ndani ya koo au familia, kwa siku za karibuni limeonekana ni jambo la kawaida sana. Lipo karibia kila kabila na kila koo. Mfano wakati nikiwa uchagani...
  5. David Angel

    Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

    Kama usivyo na Uthibitisho wa uwepo wa huyo god
  6. David Angel

    Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

    Umemaliza kila kitu. Mwenye ufahamu na ang'amue hili.
  7. David Angel

    Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

    Kuna mwanangu aliambiwa ampelekee moto mama mkwe wake. Sasa akawa hajui ataanzaje. Ikabidi anishirikishe tena kwa kutanguliza samahani nyingi maana anajua msimamo wangu juu ya vitu vya kusadikika. Baada ya kunieleza nikamshauri amchanganyie huyo bi mkwe valium pill kwenye kinywaji akisinzia...
  8. David Angel

    Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

    Huu ndo ulozi sasa achana na wa kupewa kanyoka mwisho kakung'ate😂
  9. David Angel

    Niko njia panda msaada

    Ushauri wangu. 1. Achana naye kwa amani kabisa maana wewe siyo chaguo lake. 2. Msamehe tu, hizo ni changamoto na kawaida humpata mtu yeyote. 3. Chagua kati ya 1 au 2 uishi nayo. Naomba kuwasilisha
  10. David Angel

    Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

    Hofu kubwa nyingine ni kuwa ukifiri nje ya box namna hiyo ni kuwa unakufuru na hiyo dhambi haisameheki. Unakufuru nani? Dhambi kwa nani? Na haisameheki kwa nani? Hebu tuache upuuzi shubaaamit😂
Back
Top Bottom