Sijui uchumi,ila tunaangalia kiasi cha utegemezi kujua kujua au kusinyaa kwa uchumi.,utegemezi umepingua kwa asilimia ngapi ukilinganisha na awamu uliyolinganisha?
Hata wewe huenda ukawa nyumbu pia,kama unaona watu wamelala kwa nini usiwe mbele kuhamasisha? Unadhani vyama vya upinzani kushindwa uchaguzi kumetokana na hao uliowataja?
Mara ngapi maandamano yametangazwa mliwahi shiriki au hao ambazo sio walimu na mapolisi wameshiriki?
Usicoment tu kwa...
Wanawake wanachukia sana mada hizi za UMIHINU WA MWANAUME KUOA MKE MWENYE BIKRA.
Wengi wape,unaweza kumpata mke bora ambaye hana bikira lakini kwa asilimia kubwa mke bora pamoja na mambo mengi ni yule aliye weza kujitunza na hadi pale alipoolewa.
Baadhi ya makabila walikuwa wakimruhusu mume na...
Hizo mada wanawake hawazipendi japo zina ukweli.
Watakimbilia tafuta hela.,Lakini uko sahihi hata kama watakipinga,kuna wanaume hawana hela lakini wamepata perfect women na wanaenjoy maisha.
Niliwahi kusikia kuhusu utaratibu wa kurusha drone lazima uwe na kibali.Je hata nikiwa na drone ndogo za kupiga picha na video binafsi natakiwa kuwa na kibali?
Naomba elimu kidogo kama si kosa kumiliki na kurusha drone ndogo kwa matunizi binafsi
Mbunge anayetunga sheria miaka mitano anaondoka na mamilioni ya fadha na huyo mtumishi miaka 33 ameitumikia nchi hii kwa uaminifu mkubwa.
So sad kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.