Ikiwa hakuvutii ni kwmba haumpendi hivo uskubali kuolewa nae kwa ushawish wa pesa tambua ikiwa utaolewa nae basi wenye mvuto kuliko yeye wanaushawish mkubwa wa kuharibu ndoa yako ... Na pengne yweza ikawa sababu ya matatizo makubwa hata kupelekea vifo baina yenu na kukawa na majuto makubwa cha...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwka wa pili napenda sana kufanya biashara ila nahofia sana kufanya vivo kwani program ninayoisoma inahitaji kuwa busy sana sasa imekuwa kikwazo kwangu kwani nahofia kupoteza moja kati ya mawili haya masomo ama biashar. Kama inavojulikana biashara hua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.