Recent content by Dave official

  1. Dave official

    Hii tabia ya Wanamichezo kumsifia Rais wa nchi kwenye kila jambo tuiitaje?

    Inasound vyema ukiisoma kinyerere[emoji23]
  2. Dave official

    Hili suala la timu ya kigeni kuja na kila kitu chake na kukataa vitu vilivyoandaliwa kwaajili yao limekaaje kikanuni?

    Mbali ya kuwa mchezo tambua huo ni ushindani na ni biashara pia.
  3. Dave official

    True love is so rare!

    Ndoa ni suala la kiimani, Hivyo usitumie akili zako utaumia. Kimsingi tusiwe wavivu kumwomba Mungu cz ndiye mwanzo wa haya yote.
  4. Dave official

    Wanawake wanajisababishia wenyewe kutokuolewa

    Baada Kama ya siku tatu Nika deshi nataka namba ya kumtumia akajibu nilipiga chini sikuwa na msalie mtume. Ndvyo walivyo[emoji23]
  5. Dave official

    Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

    Hili suala limekithiri sana, na wengi wao husema changamoto za kimaisha Pia wanaofanya ivyo ni ma-single mother. 🥲
  6. Dave official

    Kumiliki laptop Bora kwa Sasa!

    Ni mwandishi wa vitabu, hivyo nahitaji kuandikia vitabu na kutunza documents zote, pia kurecord na kutunza mahubiri ya mchungaji wangu.
  7. Dave official

    Kumiliki laptop Bora kwa Sasa!

    Habari na JF, now days kumekuwa na wingi wa laptop, hivyo kupelekea ongezeko la wauzaji wa vifaa hivyo hasa mtandaoni. Waswahili wasema kwenye mengi Pana mengi, laptop zimekuwa very cheap kila Kona zinapewa promo kila social network. Jambo la msingi, kipi Cha kuzingatia au ni mambo yapi ya...
Back
Top Bottom