Recent content by Daudi kambona

  1. D

    Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

    UKristo ndo maisha maana ukitaja tu YESU hata Kama mgonjwa unapona sasa waislamu watwambie Ni wapi mungu wao alitamkwa akaponya magonjwa n.k
  2. D

    PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

    Brother wengi hawajui mengi kuhusu Israel iko hivi ngoja nikwambie Jambo ukitaka kujua Israel walivyo hatari mwambieni Putin apeleke jeshi kusaidia Hamas nakuhakikishia ndani ya mda mfupi mtaona kitacho mkuta Putin nikukumbushe ndani ya jeshi la Russia wapo wayahudi hata prigozhin alikua...
  3. D

    SoC04 Umaskini wa bara la Afrika

    Brother maendeleo na mafanikio Yana Siri nyingi sana ukisoma historia ya uingereza , marekani,urusi ,hayajaendelea hivihivi Kuna Mambo wamefanya ndipo nchi zao zikawa na nguvu mfano uingereza walikua wanatoa fungu la kumi la pato lao la taifa the same to America labda tuangalie warabu ile...
  4. D

    SoC04 Umaskini wa bara la Afrika

    Africa Ni bara tajiri MUNGU amelipa Mali nyingi but still bado Ni maskini. Tuliosoma darasani sababu za bara hili kua maskini kwa mtazamo wangu sio kweli .Tujiulize yafuatayo. Nikweli Africa haina miundo mbinu, nikweli Africa haina raslimali watu, hivi nikweli hatuna viongozi sahihi n.k...
  5. D

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Kuna vitu watu wanachanganya wanafikiri Israeli hawakosei Kama binadamu wengine pia wanazani makosa hayo yanafanya lisiwe taifa teule like taifa mpaka MUNGU aliapa kwa nafsi yake hivi unazan MUNGU nikama kigeu geu achague miaka yote hiyo alafu agairi 2024 makosa walio nayo hayamaanishi kua...
  6. D

    Jambo hili ni gumu

    Hiki kitu ni hatari sana kwenye hatima ya maisha ya nafsi za watu kuokolewa au kupotea milele: USHOGA na USAGAJI. Ni kweli maandiko yamenyamaza kuhusu msamaha wao. Ila ndugu, usijaribu kufanya vitendo hivi. Nitauliza maswali mawili tu mwenyekiti upeo anijibu: Anayeweza kuonesha mahali kwenye...
  7. D

    Mwenendo wa Dunia & the Prophecy

    Habari: Kuna mataifa kadhaa duniani ambayo haya ndiyo ya kutizama sana Israel, Marekani, Vatcani ukiangalia vizuri Israel utagundua kuwa Kuna maandalizi makubwa ya kumkaribisha masihi kumbuka baada ya kifo cha Allen Sharon pm rabi yitzak kaduri alisema masihi atakua karibu kuijilia Israel...
Back
Top Bottom