Samahani kwa kukusumbua ndg yangu...Kichwa kikijaa mambo mengi hayo hutokea ila naamini umeelewa hitaji langu kama huwezi kunisaidia usinishutumu kwa kuwa sijafanya kama ulivyotaka.Asante
Sawa hamna shida kikubwa kama umeelewa inatosha sio lazima tufanane rafiki...Ungenifundisha namna nzuri ya uandishi kuliko kunidhihaki ingenisaidia kuliko haya uliyoandika...Ila nashukuru kwa kujali
Habari wakuu,
Mimi ni kijana wa Kitanzania nina cheti ninatafuta kazi yoyote ili niweze kuendesha maisha yangu maana hali so shwari kabisa.
By Daudi Haule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.