Hili tukio lingekua amefanya Syria au Iran naona mpaka kufikia mda huu USA TAYARI WANGESHAPELEKA MANOWARI PALE MEDITERRANEAN NA KUSHUSHA TOMHAWKS MISSILES KAMA ZOOTE HIVI KABLA HATA YA KUSUBIRI UN SECURITY COUNCIL MEETING.
Hii dunia haina haki kabisa
Uturuki anatumia hili tukio kama fursa ya kupata mabillioni ya dola kutoka saudia ili afiche baadhi ya Ushahidi wa tukio hili kwani mpaka leo hajatoa ile audio na video kama wenyewe walivyodai kuwa wanazo hapo awali lakini upande wa pili huku Qatar anamsukuma uturuki atoe UKWELI wote wa hili...
Hakika kwani utajiri wa marekani unategemea wayahudi na waarabu(UAe,qattari, Jordani,Saudis,n.k) tu hivyo kamwe USA HAWEZI KUWAACHA wayahudi au waarabu lazima atawalinda tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.